katika pitapita zangu maeneo karibu na bungeni Dodoma nimekuta kikundi cha wazee akisikitika kuhusu vijana wa chama cha mapinduzi kuacha kuvaa kijani na kupendelea kuvaa nguo nyeusi zenye bendera ya taifa kwa mbele , mzee mmoja akauliza je nikuonesha uzaledo ama wanajindaa kwa msiba mkubwa wa...
Hivi nchemba unakumbuka miaka ya 1980's Dr slaa alikua mwanachama c c m na alikihama miaka ya tisini baada ya kuenguliwa kuwania nafasi ya ubunge karatu.kitendo cha dr slaa kujiunga upinzan kirimkera sana mwalmu nyerere nukuu akihutumbia c c m 1995''kitendo cha kumuacha huyo kijana (dr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.