JKT ikisimamiwa vizuri ni swala zuri kwa ajili ya kujenga uzalendo na ukakamavu. Ukiangalia nchi kama Israel wanamfumo wa kupeleka vijana wao jeshini na kwa wanaofahamu Israel raia wake wana uzalendo mkubwa kwa nchi yao.
Niliwahisikia mtz akikamatwa Kenya kwa sababu yoyote ya uvunjaji wa sheria ya nchi husika hapewi nafasi ya kujitete ni kwa sababu ya majibu ya ujanja ujanja. Nashawishika kuamini kutokana na majibu ya Mzee wa Upako. Kwa kweli ametisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.