Kuna laber.ktk sensor. Atakua ameisahau.sasa unatakiwa umtafute fundi ulie nae karibu au nitumie model ya simu yako.niangalie kama naweza kukusaidia ulipo
Bila sokoine!part two lowasa sasa huyu amepikwa kimeru na kimasai.hawa ndio viongozi wa kweli.nani anawexa kumfungulia kesi.kama yeye ni mkosaji kaachia uongozi madudu yameongezeka tena naweza ata kua kichaa mtu millions anasema za mboga wakati me naumia nateseka alafu mtu anajibu ujinga eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.