Recent content by storage

  1. S

    Dr.Slaa live ITV akichambua hotuba ya Kikwete

    Kweli nimeamini team buku7 ipo na inafanya kazi kama ilivyoamrishwa. Uzi wa Dr. Slaa/ Mbowe/ Lissu/ Mnyika utawaona wameibuka faster to crush lkn kwingine huwaoni zaidi ya kumsifia professor wa kichina. Hongereni kwa ajira mbadala kupitia jf. Hongera Harbinder kwa kutoa ajira kuanzia kwa prof...
  2. S

    Prof. Tibaijuka ashauri wabunge wasiwe Mawaziri!

    Mchekeshaji wa jf, kuna uzi wa mbowe umeanzishwa sasa hivi kauwahi waambie na wenzako
  3. S

    Dr.Slaa live ITV akichambua hotuba ya Kikwete

    Wewe ni mzanzibari wa kariakoo au?
  4. S

    Dr.Slaa live ITV akichambua hotuba ya Kikwete

    Hivi eeeh!! Vijana wa Professor bana vijibu vya uswahilini for wide heavy issues.
  5. S

    Mbowe kulipua ufisadi wa Bomba la Gesi

    Kumbe ni mchekeshaji wa jf
  6. S

    Rais wa nchi kuiita pesa ya nchi yake pesa ya madafu, kiongozi kweli huyo?

    Anamaanisha kwamba wao huwa wakipiga deal kama ya Escrow huwa hela inakuwa in terms of $ not Tshs a.k.a madafu
  7. S

    Hivi nikitaka kwenda ikulu kumsalimia raisi nianzie wapi?

    Kula sembe ukishakuwa teja jamaa mwenyewe atakuita ikulu coz anafurahia unavyotumia moja ya product anazo-import kutoka nje.
  8. S

    Vichwa vya habari magazeti ya leo vyambeba Kikwete

    Kweli kabisa. Ni JEMBE linalojua wauza unga lkn likapiga kimya. JEMBE linalojua wauwa tembo lkn linapiga kimya. JEMBE linalosign mikataba ya siri kama shukrani kwa mwanawe kutouawa huko China kwa Sembe deal. Ni JEMBE linalo tetea ufisadi wa E. . . . Ni jembeeee
  9. S

    Ni vyema sasa kujua yaliyojiri Stanbinc Bank

    Utumbo? Je vitumbua unavyopika vina umuhimu zaidi ya utumbo?
  10. S

    Ni vyema sasa kujua yaliyojiri Stanbinc Bank

    Leo una rafiki yako Stanbic akakwambia hivyo? Hata Mimi nina rafiki yangu Stanbic aliniambia Jakaya alichota cash money kwa Sandarusi na viroba
  11. S

    How our dear President Kikwete is Viewed outside TZ! ( A must read story)

    Kama mwanamke wa siku hizi anakwambia anaolewa kuosha nyota hata akiachika baada ya 1sec after ndoa haina shida
  12. S

    Wahisani wafurahishwa na hotuba ya Kikwete

    Na wewe umefurahishwa kupewa msaada?
  13. S

    Tibaijuka: Kwakuwa rais ametengua Uteuzi wangu, sasa nipo jimboni natatua kero za Wananchi

    Naaam, akitolewa ardhi itatikisika na mitambo itakufa bila Harbinder no umeme TZ. Harbinder ni mtambo wa kufua umeme hapa nchini Tanzania
  14. S

    Interpol wakamata Jangili wa meno ya Tembo

    Kitu ni kilekile meno ya tembo, pembe za ndovu hujaelewa kitu hapo kweli au wewe ni ndugu na Kinana?
  15. S

    Rais Kikwete akutana na Diamond na Mshindi wa BBA Idris

    Kikwete anawish angekuwa kijana kama enzi zile akikatiza Samora awe anaflow free style. Hamna Rais hapa zaidi ya koti pale magogoni
Back
Top Bottom