Interpol wakamata Jangili wa meno ya Tembo

Interpol wakamata Jangili wa meno ya Tembo

hivi lugha halisi ni meno ya tembo au pembe za ndovu?au zote sahihi?

Kitu ni kilekile meno ya tembo, pembe za ndovu hujaelewa kitu hapo kweli au wewe ni ndugu na Kinana?
 
Ok issue sio kuwakamata but ni kile kinachofuata after kukamatwa! Mbona wameshakamatwa wengi tu. Where are they??

Point, mbwembwe za ukamataji nyingi sana, lakini mwisho wa siku inakuwa kama yule aliyesafirisha twiga kwenye ndege ya jeshi
 
Akina FaizaFoxy watakuja hapa kumtetea so long as ni wa Dini yao
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mahala Uislam unaamrisha kuvunja sheria mpaka pale sheria hiyo itapokuwa inakandamiza Uislam. Kumbuka hilo.

Huo ndio Uslam,lakin kwa nyie wadini so long as mvunja sheria ni Mwenzenu then mtamtea kwa Gharama zote.
Reffer JK na wizi wa Escraw
 
Huo ndio Uslam,lakin kwa nyie wadini so long as mvunja sheria ni Mwenzenu then mtamtea kwa Gharama zote.
Reffer JK na wizi wa Escraw

Unaleta ujinga sasa kuna Muislam aliyetajwa kwenye escrow? au unataka kuanzisha ligi ya udini makusudi tu?

Pombe za kusherehekea sikukuu ya kipagani zimesha-kuingia vizuri?
 
Back
Top Bottom