This is a reaction of TOAM to the article that was published in various sites including Belgium and later shared to Jamii Forum.
The article provided incorrect statement involving Tanzanian farmers to sell uncertified seeds or seeds that are under the current Tanzanian Plant Breeders Rights...
This is a reaction of TOAM to the article that was published in various sites including Belgium and later shared to Jamii Forum.
The article provided incorrect statement involving Tanzanian farmers to sell uncertified seeds or seeds that are under the current Tanzanian Plant Breeders Rights...
Habari za majukumu wakuu.
Ninatumia Samsung J7 (2016) ambayo imekuwa ikinisumbua kwa hili tatizo la sreen overlay detected na change permission settings.
Hiki kitu kinanizuia hata kudownload kitu chochote kupitia google na hata apps zingine haziwezi kufunguka kwa sababu itakwambia screen...
Mkuu jana nimefanyia kazi ushauri wako hasa kuikubali Desire Eye, lakini nimefanya market survey pamoja na nia ya kutaka kununua kabisa maeneo ya kariakoo, cha ajabu zile simu sijapata brand new, maduka mengi niliyopita nimeambiwa wanaleta na wanauza used tu.
Je ni kweli hizi simu zipo used tu...
Ushauri mzuri mkuu,
Ila ntajuaje hii ni snapdragon 810 na hii ni snapdragon 801. Pengine kuna njia ya kucheki iyo kitu unaweza kunisaidia mana mpaka hapa nishaelewa ushauri wako.
Asante mkuu
Ninayo budget ya kuanzia 400 hadi 500+ ila itakuwa determined na ubora wa iyo simu japo ndo natafuta msaada wa kuepuka changa la macho juu ya ubora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.