unaweza kuwa na safari ama lengo jema ila ukapita njia Mbaya/mbovu tena unatembea KIBWEGE napo tukusapoti tu?, kwa nini tusikupinge na kukushauri njia bora zaidi?, Sasa jemedari huyu asie taka ushauri akiamini anajua kila kitu na matokeo yake ana haribu. Hakuna namna ni kumpinga tu.
Kwani LAZIMA kuunga mkono MAZINGAOMBWE?,kama we umeona vinafaa ungana nao. Ss tuliunga mkono kutafakari na kuichambua MISWADA yenu ya Mliyoileta kwa hati ya DHARULA.mkajifanya NDIYOOOOOOOsasa leo mnasema NN?.
Ninani aliyewaleta hao WEZI na nani aliyepitisha Mikataba ya hovyo.....hao unajifanya huwajui?, huyo Shizonje alikuwa wapi kipindi hicho?, Anasemaje kuhusu mi hiyo mikataba? Mbona haiweki mezani anaichungulia vichochoroni?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.