Facts: Huenda Tundu Lissu anatumiwa na wamiliki wa migodi

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Sep 11, 2013
8,586
11,225
Wakuu heshima kwenu,

Kuna uchunguzi mimi mtwa mkulu niliingia kuufanya hasa wakati wa awamu iliyopita. Niligundua kuwa baadhi ya vijana machachari kipindi kile kutoka upinzani walikuwa wakipiga hela nyingi kwa kuwatisha vigogo kuwa wamepata tuhuma na ili wasitoe taarifa bungeni wanahitaji kiwango kikubwa cha fedha. Nilipata taarifa hizi ila kwa kukosa ushahidi wa wazi nilishindwa kulianika.

Wiki hii baada ya kupata hotuba ya mwanasheria mbobezi Tundu Lissu niliumia sana kwani niliona akijishushia credibility yake nikapata shaka sana iwapo nia akili yake. Katika taarifa za siri ambazo mtoa taarifa wangu amenipa ni kuwa Tundu Lissu amefanya kazi katika baraza la maaskofu Tanzania yaani CCT wakati fulani kitengo cha haki za binadamu..

Wakati huo alipigania sana haki za wananchi waliokuwa wakinyanyaswa katika migodi kama tunavyotambua kuwa watanzania wengi walinyanyasika sana hasa awamu ile ya Tatu. Mtoa taarifa huyo ambae ni kiongozi wa kanisa moja wapo kati ya makanisa yanayounda CCT amenitonya kuwa Tundu Lissu amewahi kutoa hotuba kuhusu madini iliyowaliza maaskofu.

Siku za badae kuna kesi dhidi ya mgodi furani unaoshutumiwa sana kukiuka haki za binadamu hapa nchini ilianzishwa na Tundu Lissu akiwa si chini ya hawa wa CCT tena alionekana kuwa mwiba mkubwa kwa mabwenyenye. Nitautaja mgodi huo uchunguzi wangu ukikamilika. Hawa jamaa walimuhonga Lissu jumba la kifahari na hivyo kumfanya awe kimya kuongelea masuala ya madini, na pale ambapo maslahi ya watu wa magharibi yakiguswa Tundu Lissu hawezi kukubali kwasababu ni mabwana zake na kuna kitu ananufaika.

Wito wangu: Serikali imchunguze bwana huyu ili itakapobainika asiachiwe bila kujali yatazungumzwa yapi. Yapo mambo mengi ambayo yalihitaji ushiriki wa mwanasheria huyu mfano ni watu wengi waliofukiwa katika mgodi kule Geita nyakati zile za kifo cha baba wa taifa. Star TV wanayo video lakini nguli huyu anakalia akili mfukoni na kuthubutu kueneza uongo usio kuwa na maslahi na taifa.
 
WAKUU Heshima kwenu
kunauchunguzi mimi mtwa mkulu niliingia kuufanya hasa wakati wa awamu iliyo pita. Niligundua kuwa baadhi ya vijana machachari kipindi kile kutoka upinzani walikuwa wakipiga hela nyingi kwa kuwatisha vigogo kuwa wamepata tuhuma na ili wasitoe taarifa bungeni wanahitaji kiwango kikubwa cha fedha. Nilipata taarifa hizi ila kwa kukosa ushahidi wa wazi nilishindwa kulianika.
wiki hii baada ya kupata hotuba ya mwanasheria mbobezi Tundu Lissu niliumia sana kwani niliona akijishushia credibility yake nikapata shaka sana iwapo nia akili yake. Katika taarifa za siri ambazo mtoa taarifa wangu amenipa ni kuwa Tundu lissu amefanya kazi katika baraza la maaskofu Tanzania yaani CCT wakati furani kitengo cha haki za binadamu... wakati huo alipigania sana haki za wananchi waliokuwa wakinyanyaswa katika migodi kama tunavyotambua kuwa watanzania wengi walinyanyasika sana hasa awamu ile ya Tatu. Mtoa taarifa huyo ambae ni kiongozi wa kanisa moja wapo kati ya makanisa yanayounda CCT amenitonya kuwa Tundu Lissu amewahi kutoa hotuba kuhusu madini iliyowaliza maaskofu.
Siku za badae kuna kesi dhidi ya mgodi furani unaoshutumiwa sana kukiuka haki za binadamu hapa nchini ilianzishwa na Tundu Lissu akiwa si chini ya hawa wa CCT tena alionekana kuwa mwiba mkubwa kwa mabwenyenye. Nitautaja mgodi huo uchunguzi wangu ukikamilika. Hawa jamaa walimuhonga Lissu jumba la kifahari na hivyo kumfanya awe kimya kuongelea masuala ya madini, na pale ambapo maslahi ya watu wa magharibi yakiguswa Tundu Lissu hawezi kukubali kwasababu ni mabwana zake na kuna kitu ananufaika.
Wito wangu Serikali imchunguze bwana huyu ili itakapo bainika asiachiwe bila kujali yatazungumzwa yapi. Yapo mambo mengi ambayo yalihitaji ushiriki wa mwanasheria huyu mfano ni watu wengi walio fukiwa katika mgodi kule Geita nyakati zile za kifo cha baba wa taifa star TV wanayo video lakini nguli huyu anakalia akili mfukoni na kuthubutu kueneza uongo usio kuwa na maslahi na taifa.

Pathetic! Badala ya kuwachunguza waliokwenda ku sign mikataba hotelini huko Ulaya, na wote walioshiriki kuandaa mikataba hiyo unataka kukimbiza vivuli (shadows) kwa gharama za kodi zetu?
 
aungane na serikali basi ama hata atoe ushauri wenye maslahi mapana kwa taifa
Weeee jamaa sijui uwezo wako wa kufikiri ukoje!!! Kwa mtazamo wangu, una uwezo mdogo wa kuelewa kilichoandikwa au kusemwa na Lissu. Lissu ametoa angalizo na mapendekezo. Pia usisahau Lissu ni miongoni mwa Watz wachache waliopiga kelele za kuibiwa nchini ktk sekta ya madini, akaonekana kuwa kichaaa na watawala na kukamatwa. Leo unamponda mtu wa jinsi hii, kweli nimeamini "nabii hakubaliki nyumbani kwao". Wala keki MNA maneno
 
maslahi gani mapana umeyaona katika hotuba yake? kwanza imenitia kichefu chefu ni aibu sana kwa taaluma ya sheria
Ona aibu kwanza kwa wenzako wanaoitikia ndio kama hawana akili!

Lisu kaanza kupigania haya mambo tangu 1999 na mlimuona ni mchochezi mkamuweka sello.
Sasa chumeni mlichokipanda, mkitaka msaada wa kisheria wapo Mwakyembe na Kabudi watumieni.

Ukipata kichefu chefu subiri utapike ili kichefuchefu kiishe maisha yasonge mbele
 
aungane na serikali basi ama hata atoe ushauri wenye maslahi mapana kwa taifa
Alitoa julai 1 2015 ukumbi wa bunge dodoma mkamfukuza nje na kumzomea juu kisa alipinga muswada wa issue za nishati / gesi kuletwa kwa hati ya dharura ilihali wabunge hawatopata muda wa kuipitia na kuichambua vzuri kabla ya kuipitisha!!!! Kipi kimebadilika kwa hawa maccm kuchukua ushauri wake leo hii
 
Umetumia neno FACT, kisha ukamalizia na neno huenda (kutokuwa na uhakika)

Unadai umefanya uchunguzi wa kina na kugundua kuwa TL na wabunge vijana wamehongwa, kisha ukamalizia na kuishauri serikali imchunguze na kama akibainika achukuliwe hatua!

Wewe ni wakurudishwa mirembe..
 
WAKUU Heshima kwenu
kunauchunguzi mimi mtwa mkulu niliingia kuufanya hasa wakati wa awamu iliyo pita. Niligundua kuwa baadhi ya vijana machachari kipindi kile kutoka upinzani walikuwa wakipiga hela nyingi kwa kuwatisha vigogo kuwa wamepata tuhuma na ili wasitoe taarifa bungeni wanahitaji kiwango kikubwa cha fedha. Nilipata taarifa hizi ila kwa kukosa ushahidi wa wazi nilishindwa kulianika.
wiki hii baada ya kupata hotuba ya mwanasheria mbobezi Tundu Lissu niliumia sana kwani niliona akijishushia credibility yake nikapata shaka sana iwapo nia akili yake. Katika taarifa za siri ambazo mtoa taarifa wangu amenipa ni kuwa Tundu lissu amefanya kazi katika baraza la maaskofu Tanzania yaani CCT wakati furani kitengo cha haki za binadamu... wakati huo alipigania sana haki za wananchi waliokuwa wakinyanyaswa katika migodi kama tunavyotambua kuwa watanzania wengi walinyanyasika sana hasa awamu ile ya Tatu. Mtoa taarifa huyo ambae ni kiongozi wa kanisa moja wapo kati ya makanisa yanayounda CCT amenitonya kuwa Tundu Lissu amewahi kutoa hotuba kuhusu madini iliyowaliza maaskofu.
Siku za badae kuna kesi dhidi ya mgodi furani unaoshutumiwa sana kukiuka haki za binadamu hapa nchini ilianzishwa na Tundu Lissu akiwa si chini ya hawa wa CCT tena alionekana kuwa mwiba mkubwa kwa mabwenyenye. Nitautaja mgodi huo uchunguzi wangu ukikamilika. Hawa jamaa walimuhonga Lissu jumba la kifahari na hivyo kumfanya awe kimya kuongelea masuala ya madini, na pale ambapo maslahi ya watu wa magharibi yakiguswa Tundu Lissu hawezi kukubali kwasababu ni mabwana zake na kuna kitu ananufaika.
Wito wangu Serikali imchunguze bwana huyu ili itakapo bainika asiachiwe bila kujali yatazungumzwa yapi. Yapo mambo mengi ambayo yalihitaji ushiriki wa mwanasheria huyu mfano ni watu wengi walio fukiwa katika mgodi kule Geita nyakati zile za kifo cha baba wa taifa star TV wanayo video lakini nguli huyu anakalia akili mfukoni na kuthubutu kueneza uongo usio kuwa na maslahi na taifa.
Mkitoka EDA Muwe mnauliza kwanza yaliyojiri sio Kuja na hoja za KiBASHITE-BASHITE.
 
Ona aibu kwanza kwa wenzako wanaoitikia ndio kama hawana akili!

Lisu kaanza kupigania haya mambo tangu 1999 na milimuona ni mchochezi mkamuweka sello.
Sasa chumeni mlichokipanda, mkitaka msaada wa kisheria wapo Mwakyembe na Kabudi watumieni.

Ukipata kichefu chefu subiri utapike ili kichefuchefu kiishi maisha yasonge mbele
Mkuu achana naye huyo anafkiri tanzania ya sasa ni ile ya mwaka 2000!!! Hana hoja zaidi ya kejeli na mipasho kma muimba taarab
 
hana jema huyo eti tuanze kutengua sheria za kimataifa huku hawa wahuni wanaendelea kuchota madini yetu mi naona alivyofanya raisi ni sawa na sio conclusive hatua nyingine zinafuata
 
Back
Top Bottom