Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,582
- 113,787
Kwenye mikoa yote ya pembezoni, watu wa pande zote hujichanganya na kuzungumza lugha ya hapo mahali lakini tabia na matendo yao ndio huwabainisha asili zao. Hivyo kuzaliwa tuu mahali na kuzungumza tuu lugha wenyeji hakukufanyi uwe miongoni mwao, unakuwa ni mmoja wao kwa kuchongwa tuu kutokana na kuzungumza lugha yao.Paskali, kusema wa kuchonga unamaanisha nini sasa, kwamba anaigiza uzalendo?
Tunaviongozi wengi wa kuchonga tuu, tungetumia DNA kubaini asili za viongozi wetu wakuu watu mngeshangaa!.
Paskali