Kuna factors nyingi sana. Ads retargetting unafanya inakuwa wale walioona tangazo lako ndio audience inakuwa retargetted na sio audience mpya.. hii inakuwa rahisi kuconvert hao wanunue.
Google hawajaathirika kama META, Kwa sababu watu wengi wanatumia Chrome kuGoogle, hivyo google hawaathiriki...
Ni sahihi.
Apple iOS Updates – Privacy Is King Now
Tangu iOS 14.5, Apple wakaleta App Tracking Transparency (ATT)
Hii ilifanya Facebook (Meta) washindwe kufuatilia vizuri user behavior
Result? Data targeting imekuwa ngumu, sio za uhakika kama zamani
2. Cost per Result (CPR) hutegemea...
USHAURI KWA WAFANYABIASHARA WA TANZANIA: JINSI YA KUPATA WATEJA KUPITIA MATANGAZO YA SOCIAL MEDIA (2025 STYLE)
Wafanyabiashara wenzangu wa Bongo, ukweli ni huu: dunia ya matangazo kwenye social media imebadilika sana. Kama bado unatumia mbinu zilezile za 2020, utakuwa unateketeza hela zako bila...
Ulitegemea achukue La Liga Akiwa na Getafe?
Unaijua klabu ya Al Qadsia na Mpinzani wake mkuu huko Kuwait?
Kocha ana elimu nzuri, bado ni kijana, Anaweza kuwasaidia Simba kwa Elimu yake na uzoefu.
Nitajie Kocha Tanzania mwenye elimu ka Kocha huyo wa Simba.
1.Kampuni ya Wasafi Limited ndio Yenye Wasafi TV? Au Wasafi TV ipo chini ya Kampuni nyingine?
2.WCB Music Label ipo chini ya Kampuni gani? Wasafi Limited au ipi?
3.Wasafi Limited, Wasafi TV, Wasafi Fm, WCB Music Label Kuna uhusiano gani?
Jifunze kuhoji na sio kukurupuka
Wanaojiita wananchi walipata kunena yafuatayo:
1. Hatuwezi kutumia bus la wahindi.
2. Mo hana hela, B20 imemshinda hawezi kununua Bus zuri.
3. Bus letu jipya ni kama la Madrid, Liverpool & Manchester City.
4. Spea za Tata zinatumika hadi kwenye cherehani.
5. Tunashusha Bus la Bilioni 2.
Na...
Siasa za Upinzani zimewashinda, wanahamia kwenye mpira...
Sisi watu wa soka hatutaki Siasa za CCM, ACT & CHADEMA kwenye soka.
Mikataba mingapi inafanyika kwa utaratibu kama waliofanya Simba..? Anataka uwekwe wazi the whole process ili iweje? Kwa faida ya nani? Yake Zitto? Mashabiki? Watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.