Stoik
Member
- Feb 14, 2021
- 27
- 67
Wanaojiita wananchi walipata kunena yafuatayo:
1. Hatuwezi kutumia bus la wahindi.
2. Mo hana hela, B20 imemshinda hawezi kununua Bus zuri.
3. Bus letu jipya ni kama la Madrid, Liverpool & Manchester City.
4. Spea za Tata zinatumika hadi kwenye cherehani.
5. Tunashusha Bus la Bilioni 2.
Na kauli nyingi za majigambo, hapo ukiachana na majigambo ya kuchukua ubingwa kabla ya mechi Kumi.
Mwisho wa siku hakuna walichofanikiwa, Ubingwa wamekosa, na Bus lao jipya ni kampuni ya Tata.
Somo: Muache mihemko ya kitoto washabiki wa Utopolo.
1. Hatuwezi kutumia bus la wahindi.
2. Mo hana hela, B20 imemshinda hawezi kununua Bus zuri.
3. Bus letu jipya ni kama la Madrid, Liverpool & Manchester City.
4. Spea za Tata zinatumika hadi kwenye cherehani.
5. Tunashusha Bus la Bilioni 2.
Na kauli nyingi za majigambo, hapo ukiachana na majigambo ya kuchukua ubingwa kabla ya mechi Kumi.
Mwisho wa siku hakuna walichofanikiwa, Ubingwa wamekosa, na Bus lao jipya ni kampuni ya Tata.
Somo: Muache mihemko ya kitoto washabiki wa Utopolo.