Tanzania ni Tanganyika na Zanzibar ni Unguja na Pemba.
ISIS ni kundi lililotokana na mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda ulioanzishwa na Osama bin Ladin.
Kundi hili baada ya kupata mafanikio huko Iraq na Syria, linaendelea ku-inspire na kusaidia uundwaji wa matawi Asia na Afrika.
Pamoja na...
Mnyonge ni wewe, wazazi wako, ndugu zako na watoto wako. Acha kuwavika unyonge watanzania majasiri.
#MimiSioMnyonge
Mungu yupo upande wetu, sisi siyo wanyonge. Ushindwe na harakati zako za kuwavika unyonge watanzania.
Buhari alishapotea mpaka wakazusha kuwa Buhari alifariki wakamweka mtu anayefanana naye akalie kiti. Nakumbuka ilikuwa kazi sana kuwashawishi wanigeria.
This is pure cooking of data. Hiyo nyongeza ya zaidi ya watu milioni 10 waliojiandikisha kwa siku 3 ilitokea wapi? Mbona hatukuona hiyo misururu?
Maajabu ya awamu ya tano.
God forbid.
Kuna eneo kubwa la msumbiji tayari limetekwa na ISIS ambao wanawavutia vijana wengi wa Tanzania na Zanzibar kwa mafunzo ya ugaidi. Hii ni hatari kubwa sana kwa usalama wa nchi yetu.
Badala ya kulinda mpaka pekee, inabidi Msumbiji isaidiwe kwa kupeleka vikosi vya kusaidia...
Kwani hatujui kusoma kingereza? Au soma gazeti la Mwananchi. Kila kitu kipo wazi kabisa.
Huyo msemaji kama ana hukumu yake angeiweka mezani tusome wenyewe. Haina tija kusikiliza porojo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.