mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhisi wa Migogoro ya Uwekezaji (International Centre for Settlement of Investment Disputes - ICSID) hivi karibuni imeamuru Serikali ya Jamhuri ya Tanzania kuilipa Standard Chartered Bank of Hong Kong $185 million (Tsh 426bn) kutokana na mgogoro ulioibuka baada ya $122 (Tsh 306 bn) kuchukuliwa kutoka Akaubti ya Escrow.
Mara baada ya hukumu hiyo kutolewa msemaji wa serikali Dr. Abbasi akasema kwamba Watanzania tusiwe na wasiwasi kwa kuwa atakayelipa ni IPTL na si serikali (ya wanyonge). Hebu wanasheria, akiwemo KaShivji kadogo, watueleze na kuthibitisha kaliuli ya Dr. Abbasi.
Pia soma
Mara baada ya hukumu hiyo kutolewa msemaji wa serikali Dr. Abbasi akasema kwamba Watanzania tusiwe na wasiwasi kwa kuwa atakayelipa ni IPTL na si serikali (ya wanyonge). Hebu wanasheria, akiwemo KaShivji kadogo, watueleze na kuthibitisha kaliuli ya Dr. Abbasi.
Pia soma
IPTL saga: Tanzania kuilipa Standard Chartered Dola za Kimarekani Milioni 185
Watupe namba ya akauti tuwatumie....tuko vizuri.
www.jamiiforums.com
Serikali yakana hukumu ya kuilipa ESCROW dola Mil 185. Dk. Abbasi asema Serikali haidaiwi
Akizungumzia hukumu hiyo iliyotolewa Oktoba 9, mwaka huu, Dk. Abbasi amesema ameulizwa kuhusu hukumu hiyo, na hivyo amelazimika kutoa ufafanuzi. “Msingi wa kesi zote mdaiwa siyo serikali wala Tanesco, ni deni la benki dhidi ya IPTL (kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited)...
www.jamiiforums.com