Kwa mimi mtu baye sio mtaalam wa uchumi, sijaelewa uchumi utashuka vipi wakati pesa iko nyingi? Standard of living si ndio itapanda sasa maana nitaweza nunua nachotaka? Ebu nieleweshe ndugu.
Tunaposema serikali imekopa au serikali haina hela, je serikali yenyewe haiwezi chapisha noti nyingi na ambazo ni halali ili iwe na pesa nyingi na iweze kuwa serikali tajiri?
Ni nani anawazuia kufanya uamuzi huu au madhara yake ni yapi?
Naombeni wataalam mnisaidie. Sio eneo langu hilo hivyo...
Kulikuwa na haja ya kuweka picha ya uongo? Hii inatoa credibility ya ulicoandika.
Hii ni picha ya comoro kitambo. Weka hayo maneno kwenye google translator uielewe kidogo. Lugha hiyo ni kifaransa.
Link hii hapa Bofya hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.