Recent content by Steven Robert Masatu

  1. Steven Robert Masatu

    Tumewakosea nini Wakenya kumdhalilisha Rais wetu?

    Akili zingine Mungu epushia mbali tuu. We jamaa kiboko. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Steven Robert Masatu

    Nimeamua nimwache mke wangu miezi mitatu baada ya kujifungua

    Malezi yetu Vijana akati mwingine huwa comedy Sana. Wazazi wamejitahidi kadili ya uwezo wao, ila kijana unawangusha hatari. Sio kwamba siye wengine ni wakamilifu la hasha. Mwenzetu umevuka mipaka. Yani azalishe 3ltr kwa siku ili mtoto ashibe na asaze!? Hivi unajua mchakato wa uzalishaji maziwa...
  3. Steven Robert Masatu

    Marekani kinara unyanyasaji Wa informers

    Hahahahahahaha Akili zingine huwa raha sana.
  4. Steven Robert Masatu

    Barrick yatangaza rasmi kifo cha Acacia!. Acacia yakubali rasmi kununuliwa baada ya Barrick kuongeza dau!

    Mkuu Kuna tofauti Kati ya ""50/50 Profit Sharing na 50/50 Economic Benefits"". Tuwe na umakini kidogo kwenye issue hii. Mbaya zaidi haijaelezewa vizuri kwa kina utakuwaje huo mgawanyo.
  5. Steven Robert Masatu

    Naomba mbinu za kuishi na mume bahili

    Hii thread inafuka moshi, muda si mrefu panawaka hapa.
  6. Steven Robert Masatu

    Mwanaume mwenzangu usioe mwanamke aliyekuzidi uchumi/Hela utanyanyasika na kufa mapema

    Mniunganishe kwa hao wanawake wenye Elimu na hela. Mbona hawaonekani!?. Ila nionanvyo mapenzi yana version tofauti Sana kwa sasa. Zama zimebadilika mnoo, nasi tunapaswa tubadilike.
  7. Steven Robert Masatu

    Najihisi nina mkosi kwenye mapenzi

    Post #1 Hadi #228, ukisoma vizuri kwa umakini majibu anayotoa mlengwa naona Tone haishabiiani. Topic hii naona kama ni Indirect method ya kutafuta kitu. Big Brains watanielewa
  8. Steven Robert Masatu

    Nimefunga PM yangu nimechoka kusumbuliwa na mademu wa JF

    Maisha ya Sasa kwetu sisi wanaume yanatatanisha Sana. Ila tutafika tuu
  9. Steven Robert Masatu

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Aliyefufua huu Uzi haendi Mbinguni.
  10. Steven Robert Masatu

    Hongera Serikali yetu, kuwatosa Acacia kwa kutowatambua huu ndio uanaume!. acacia kula jeuri yake, faces hostile take over, soon itakuwa kwishney!.

    Hahahahhaaaha. When an Asset became a Liability. Baba nimefungua kampuni, nikaona nimpe mwanangu ila nikiwa bado nimemuweka kwapani kwa kisingizio cha mwanahisa mwenye hisa nyingi. Baadaye dogo anazingua , natumia ukubwa wangu kumtuliza dogo atulie nyumbani. Halafu me baba ake nasonga mbele...
  11. Steven Robert Masatu

    Hongera Serikali yetu, kuwatosa Acacia kwa kutowatambua huu ndio uanaume!. acacia kula jeuri yake, faces hostile take over, soon itakuwa kwishney!.

    Safi Sana mkuu, angalao wewe umeona hii kitu kwa jicho la pili. Tunakoelekea mbeleni resources za Dunia umilikaji wake unafanyiwa overhaul Mfano kwenye Diamond, huwezi fanya biashara ya Diamond ukamruka De beers. Hii sasa inakuja kwenye Gold, tunakoelekea transactions zake itakuwa Kama Diamond...
  12. Steven Robert Masatu

    Tanzania na Barrick Gold wakubaliana kuhusiana na madai ya US$190 bilioni

    Mkuu nikufungue tuu, Unayajua mahusiano kati ya Pangea Minerals na Accacia!? Ukijibu hapa sasa utanielewa nilichokuelez kwenye post yangu hapo juu.
  13. Steven Robert Masatu

    Tanzania na Barrick Gold wakubaliana kuhusiana na madai ya US$190 bilioni

    Mkuu hujui unachoandika, mambo mengine jifunze kuwa msomaji ama kuuliza ili ueleweshwe , sio ukurupuke na kuwaita watu ni wahuni. Muda utaongea mtu wangu .
Back
Top Bottom