Nimeamua nimwache mke wangu miezi mitatu baada ya kujifungua

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,352
11,487
Huyu mdada moja ya sababu ambayo ilinifanya nimpende ni kuwa ana huge boobs yaani matiti makubwa. Mimi huyapenda hayo na hasa niliwaza kuwa akijifungua mtoto wetu hatopata shida ya maziwa.

Lakini pia niliona ingesaidia kubana matumizi hasa ununuaji wa maziwa ya kopo so nikaona huyu dada ndo chaguo sahihi.

But kiukweli amekuja kuwa tofauti. Nampa kila anachotaka kama supu, uji lishe, matunda, juice, mtori n.k ananenepa tu anapendeza ila shida imerudi pale pale.gharama zangu zote kama bure tu.

Mtoto hanyonyi akashiba. Inakuwa shida naanza tena kununua Aptimil kwa gharama kubwa wakati nishamgharamikia wife yeye aproduce maziwa ya mtoto.

Sasa sielewi why hatoi maziwa mengi wakati ana maboobs ya kutosha kabisa hata yanaonesha kila moja linaweza toa lita 1.5 hivyo jumla 3?

Jamani hii siyo makusudi sababu anajua tu nitanunua ya kopo? Ni bora nimwache akaone kama kuyatunza eti ili yasilale kuna faida maana najua ndo anachoogopa kuwa yakinyonywa sana eti yatalala.

Nimeamua tu nimpe siku mbili ahakikishe anatoa lita 3 kwa siku kama hawezi aende zake tu kwao. Siwezi mimi niwe namlisha vizuri halafu ambanie mtoto wangu maziwa, hilo limenifikirisha sana.

Sijui mnasemaje wadau.
 
Malezi yetu Vijana akati mwingine huwa comedy Sana. Wazazi wamejitahidi kadili ya uwezo wao, ila kijana unawangusha hatari. Sio kwamba siye wengine ni wakamilifu la hasha. Mwenzetu umevuka mipaka. Yani azalishe 3ltr kwa siku ili mtoto ashibe na asaze!?
Hivi unajua mchakato wa uzalishaji maziwa ya mama!?
Hebu mtake radhi huyo mkeo na uache matumizi ya kuberi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mdada moja ya sababu ambayo ilinifanya nimpende ni kuwa ana huge boobs.yaani matiti makubwa.mimi huyapenda hayo na hasa nliwaza kuwa akijifungua mtoto wetu hatopata shida ya maziwa.

Lakini pia nliona ingesaidia kubana matumizi hasa ununuaji wa maziwa ya kopo.so nikaona huyu dada ndo chaguo sahihi.

But kiukweli amekuja kuwa tofauti.nampa kila anachotaka.supu,uji lishe,matunda,juice ,mtori n.k ananenepa tu anapendeza.ila shida imerudi pale pale.gharama zangu zote kama bure tu.

Mtoto hanyonyi akashiba.inakuwa shida naanza tena kununua Aptimil kwa gharama kubwa. Wakati nshamgharamikia wife yeye aproduce maziwa ya mtoto.

Sasa sielewi why hatoi maziwa mengi wakati ana maboobs ya kutosha kabisa hata yanaonesha kila moja linaweza toa lita 1.5 hivyo jumla 3.but hatoi hata lita moja kwa yote hayo.

Jamani hii siyo makusudi?sababu anajua tu ntanunua ya kopo?ni bora nimwache akaone kama kuyatunza eti ili yasilale kuna faida.maana najua ndo anachoogopa.kuwa yakinyonywa sana eti yatalala.

Nimeamua tu nimpe siku mbili ahakikishe anatoa lita 3 kwa siku.hawezi aende zake tu kwao.siwezi mimi niwe namlisha vizuri halafu ambanie mtoto wangu maziwa.hilo limenifikirisha sana.

Sijui mnasemaje wadau.
Tone ya maandishi yako tu inasomeka wazi kuwa umeandika mzaha tu. Never serious at all.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom