Recent content by steven raphael

  1. steven raphael

    Wanaume waliosoma seminari

    Vingine ni kuumbwa navyo sio lazima seminary ndugu zangu think broad brotherz wengine wanAweza kufanya vizuri sana kwenye jamii kupita hata hao walioenda seminary.ni neema tuu ya mungu.
  2. steven raphael

    Wanaume waliosoma seminari

    Lakn hebu tusiangalie seminary tuu kwaiyo unataka kuniambia asilimia kubwa wanaofanya vizuri wanatoka seminary?
  3. steven raphael

    Wanaume waliosoma seminari

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
  4. steven raphael

    Check milestone za maisha, uko wapi kwa sasa na umetimiza kulingana na umri ulionao?

    Duhh but mungu atujalie..tuende vyema corridor of 20's
  5. steven raphael

    Mganga Mkuu wa wilaya ya Singida, Dr. Erick Bakuza aachia ngazi

    Kuna hatari kubwa sector ya afya kua mbovu kihuduma kama siasa inaingilia taaluma zisizowahusu mnaaharibu systems za utoaji huduma kiujumla.na pia huduma ya afya haitatolewa kama selikali zilizopita.mnaleta siasa kazini mnatarajia huduma zitakua bora? Sasa mnawaletea hofu na kupungua kwa nguvu...
  6. steven raphael

    Mganga Mkuu wa wilaya ya Singida, Dr. Erick Bakuza aachia ngazi

    Ila kweli. Hii ndo serikali ya (..)..ovyo sana.mnaingilia sector zisizo za kwenu...tenaa?? Kuna hatari ya madaktari kugoma..maana mwakajana na hata mwaka huu..sector ya afya imeingiliwa kiasi kikubwa.mwisho wa siku hawa viongoz wa siasa nyingi tutawaachia wakatibu wao.tuone ...wamezidi...
  7. steven raphael

    Historia ya mwanafunzi mmoja mhuni iliyoishia kuwa aibu kwa wazazi wake baada ya kumtetea hadharani

    Pamoja na hayo tote huwezi kumchapa mtoto kiasi kile hadi kumpasua mkono.
  8. steven raphael

    Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

    Lkini Huoni kua umeshapoteza hajila yako kwa hasira??,hasirahasara.
  9. steven raphael

    Rapper Witness: Nimechora tatoo kiunoni ili nisichepuke

    Huna maadili ya kiafrika bado mko kwenye utumwa mamboleo!
  10. steven raphael

    Taarifa ya Polisi Dar kuhusu wanaojihusisha na ‘UKUTA’

    Alafuu, kwann kila kunapokua na maandamano au mikutano Chadema wamekua wakionewa mnoo hii sio haki na hii sio diplomasia ni uonevu!!
  11. steven raphael

    Magufuli baba, kaza kamba UKUTA ni mbinu ya mafisadi

    Hivi nyie mnaowasema hawa viongozi kuwasema kua ni mafisadi kwamfano ukikamatwa utoe ushahidi alichokifanya lowassa utaeleza nn na vithibitisho unavyo??? Hebu acheni kujitakia dhamb zczo KUA na gharama
Back
Top Bottom