Ndiyo mkuu tembo ana aina kuu mbili ambazo huzitumia wakati wa kulala. Ya kwanza ni kwamba tembo anaweza kulala akiwa amesimama na hii ni kutokana na yeye kuwa na miguu kama meza ambayo humwezesha yeye kulala bila tatizo lolote akiwa amesimama na kwa kama umebahatika kutembea hifadhini nyakati...
Tofauti ni kwamba tembo wa Africa ni wakubwa ukilinganisha na tembo wa Asia pia meno ya tembo wa Africa ni makubwa kuliko ya tembo wa Asia pia tembo wa Asia mara nyingi hutumika kama urembo mfano huwatumia katika kupamba harusi pamoja na kubeba mizigo lakini kwa Africa tembo wetu tunawatumia...
Hutumika kutengeneza daga pamoja na vitu vingine vya urembo ambavyo garama yake ni kubwa hasahasa katika nchi za kiarabu kama yemen ambayo biashara hii ya meno ya tembo ndo hufanyika
Ni kweli tembo huzikana na eneo walilozikia hukaa pale kwa siku kadhaa wakiomboleza kifo cha mwenzao na pia huweka hapo matawi ya miti na hudondosha chozi la huzuni wakimlilia mwenzao aliyefariki
Spidi yake ni kilometers 40 kwa saa kuhusu kugeuka gafla hilo hawezi kutokana na kuwa na uzito mkubwa pamoja na umbo lake lakini ana uwezo mkubwa wa kukimbia kwenye milima
Teh teh teh nauliza tu jamani kama huyu jamaa naye ana bodyguard sababu mara nyingi tunamuona diamond kila anapoenda ni lazima utamuona akiwa na njemba inayomlinda lakini kwa Alikiba sijawahi kumuona hata siku moja akiwa na bodyguard na ndio maana nauliza kama naye ana bodyguard wa kumlinda.
Ni kweli unakipaji cha mziki lakini kwa Diamond bado sana yaani uwezo wako ni mdogo mno hata haufikii nusu ya robo ya uwezo alionao diamond . Diamond yeye ni msanii wa kimataifa hilo lipo wazi na wewe ni msanii wa hapahapa huo ndo uwezo wako inabidi tu ukubaliane nao.
Diamond anafanya kolabo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.