Hivi Alikiba naye ana bodyguard?

Steven mushi mushi

JF-Expert Member
Jul 25, 2016
533
739
Teh teh teh nauliza tu jamani kama huyu jamaa naye ana bodyguard sababu mara nyingi tunamuona diamond kila anapoenda ni lazima utamuona akiwa na njemba inayomlinda lakini kwa Alikiba sijawahi kumuona hata siku moja akiwa na bodyguard na ndio maana nauliza kama naye ana bodyguard wa kumlinda.
 
Ukiwa karibu na watu haina haja ya ulinzi jamii itakulinda Kiba anacheza mpira kikawaida Mchezaji mpira unakuwa mtu wa masera wote hivyo hakuna wa kukuzingua.

Sasa jamaa mwingine hana zaidi ya mziki kitu cha kumuweka karibu na jamii hivyo masera watakuwa wanammaindi wakikutana lazima watamkwala tu hadi hereni za pua.
 
Ukiwa karibu na watu haina haja ya ulinzi jamii itakulinda Kiba anacheza mpira kikawaida Mchezaji mpira unakuwa mtu wa masera wote hivyo hakuna wa kukuzingua.

Sasa jamaa mwingine hana zaidi ya mziki kitu cha kumuweka karibu na jamii hivyo masera watakuwa wanammaindi wakikutana lazima watamkwala tu hadi hereni za pua.
Mayweather si ni boxer. Bodyguards anawatumia wa nini???
 
Teh teh teh nauliza tu jamani kama huyu jamaa naye ana bodyguard sababu mara nyingi tunamuona diamond kila anapoenda ni lazima utamuona akiwa na njemba inayomlinda lakini kwa Alikiba sijawahi kumuona hata siku moja akiwa na bodyguard na ndio maana nauliza kama naye ana bodyguard wa kumlinda.
Wewe unae? Tehe tehe tehe
 
Teh teh teh nauliza tu jamani kama huyu jamaa naye ana bodyguard sababu mara nyingi tunamuona diamond kila anapoenda ni lazima utamuona akiwa na njemba inayomlinda lakini kwa Alikiba sijawahi kumuona hata siku moja akiwa na bodyguard na ndio maana nauliza kama naye ana bodyguard wa kumlinda.
Kwani kuwa na boardguard au kutokuwa naye kunaongeza au kupunguza nini?

Mimi naona ni sifa tu za ajabu kwasababu boardguard hawezi kukuassure full security yako
 
Huwa mwenyew anasema kuwa ALLI ni kipenzi cha watu nadhan ndio sababu asiwe na bodyguard.
 
c7c71019d600cb627db876d50fd23523.jpg
 
Back
Top Bottom