Recent content by SteveMollel

  1. SteveMollel

    Kitambulisho cha NIDA

    Ni namba ndo inafungiwa kutumika katika huduma mbalimbali kama vile kusajili na kuhuisha namba ya simu.
  2. SteveMollel

    Ukiwa kijana Fanya biashara au shughuli ya kukutoa, sio kupoteza muda kwenye biashara za ovyo

    Brother, chochote kile unachokiona mbele ya macho yako kinaweza kukutoa ama kukudidimiza. Hamna guarantee popote pale. Mali ni AKILI yako tu. Kuna unachokidharau ila amini usiamini kuna mwenye akili alikitumia hikohiko akajikomboa na kufika ngazi fulani. Mimi nikiwa nimesoma mpaka chuo kikuu...
  3. SteveMollel

    Simba 1-1 RS Berkane| Agg: Simba 1-3 RS Berkane | RS Berkane Bingwa CAFCC 2024/205

    Acha excuse za kipuuzi. Uwanja umewashinda serikali na ujinga wao kwenye kuutunza. Ulitaka CAF waupeleke tu mchezo wa fainali sehemu ambayo hata nusu fainali ilishindwa chezeka hapo? We jifariji na majoto wenzako wanaondoka na kombe.
  4. SteveMollel

    Damu ya Elvino na mauaji ya huko Msumbiji

    Hiki ndo nilichosema. Na kadiri unavyozidi kuharibu ndo' unavyozidi kupata sababu za kung'ang'ania.
  5. SteveMollel

    Damu ya Elvino na mauaji ya huko Msumbiji

    Kweli unafuatilia. Ahsante mkuu. Itabidi niingie chimbo tena.
  6. SteveMollel

    Visa hivi ni vya kuvipa muda

    Nilipumzika kidogo baada ya mambo ya vpn kuwa kikwazo. Watu wengi wakawa wanashindwa kuacess telegram.
  7. SteveMollel

    Damu ya Elvino na mauaji ya huko Msumbiji

    Ahsante sana, Dialogist. Amani ni zao la haki.
Back
Top Bottom