Kwa kweli hii imekuwa ni kero kubwa sana, kwa mfano mi sehemu nayoishi kuna bar inapiga makelele ya muzik mpaka saa sita usiku wakati mwingine mpaka saa saba ila tukipiga simu polis wakija siku hiyo muziki unapunguzwa kesho yake hali inaludi luea ileile.
Kwa anayefahamu wapi tunaweza pata msaada...
Mnajitahidi ila ili muwashawishi wateja kuja kwenu usalama wenu pia ni muhimu.
(PPE) Personal Protecting Equipment au safety gears kama helmet,miwani,coverlolls,safety boots na pia hata groves.
Ukichukua clips ukiwa umevaa hizo PPE ni simple kumshawishi mteja akakuletea kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.