RC Dar es salaam, NEMC na Ofisi ya Makamu wa Rais tusaidie hili la Bar zilizo karibu na makazi kupiga muziki kwa sauti ya juu

JBITUNGO

JF-Expert Member
Oct 25, 2012
1,356
608
Imekuwa ni kawaida sana katika mitaa mingi hapa Dar es salaam kuanzisha Bar zinazopiga muziki kwa sauti ya juu. Mimi sio mtalaamu wa sauti lakini kitendo cha "mabar" yaliyo karibu na makaazi ya watu kupiga muziki kwa sauti kubwa bila kujari usumbufu wanaosababisha HAIKUBALIKI.

Naomba kuchukua fursa hii kumuomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja idara ya afya katika kata zetu kuingilia kati. Makele na miungurumo ya muziki ni kero mno.

Nafahamu watu wa "mabar" wanatumia njia ya kupiga muziki wa sauti kubwa kama njia ya kuwavuta wateja wao. Lakini wanashindwa kufahamu kwamba muziki wa sauti kubwa ni kero kubwa kwenye makaazi ya watu wanaozunguka. Kama mwenye bar anataka kupiga muziki kwa sauti kubwa ni jukumu lake kutengeneza utaratibu wa kuhakikisha sauti ya muziki wake haiwi kero kwa majirani zake.

Nimechukua njia hii ya kufikisha ujumbe kwa idara zinazohusika kwa sababu wananchi wengi wanashindwa kulalamika kwa kuongopa nguvu za wenye "mabar".

Kama njia ya dharura, nichukue fursa hii kumuomba IGP Siro kutumia vijana wake wa patrols kuwachukulia hatua mabar yote yanayopiga muziki kwa sauti kubwa kwenye makaazi ya watu.
 
Imekuwa ni kawaida sana katika mitaa mingi hapa Dar es salaam kuanzisha Bar zinazopiga muziki kwa sauti ya juu. Mimi sio mtalaamu wa sauti lakini kitendo cha "mabar" yaliyo karibu na makaazi ya watu kupiga muziki kwa sauti kubwa bila kujari usumbufu wanaosababisha HAIKUBALIKI.

Naomba kuchukua fursa hii kumuomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja idara ya afya katika kata zetu kuingilia kati. Makele na miungurumo ya muziki ni kero mno.

Nafahamu watu wa "mabar" wanatumia njia ya kupiga muziki wa sauti kubwa kama njia ya kuwavuta wateja wao. Lakini wanashindwa kufahamu kwamba muziki wa sauti kubwa ni kero kubwa kwenye makaazi ya watu wanaozunguka. Kama mwenye bar anataka kupiga muziki kwa sauti kubwa ni jukumu lake kutengeneza utaratibu wa kuhakikisha sauti ya muziki wake haiwi kero kwa majirani zake.

Nimechukua njia hii ya kufikisha ujumbe kwa idara zinazohusika kwa sababu wananchi wengi wanashindwa kulalamika kwa kuongopa nguvu za wenye "mabar".

Kama njia ya dharura, nichukue fursa hii kumuomba IGP Siro kutumia vijana wake wa patrols kuwachukulia hatua mabar yote yanayopiga muziki kwa sauti kubwa kwenye makaazi ya watu.

Katika taasisi zilizolala usingizi wa pono ni pamoja na NEMC, wanalipwa mishahara ya bure kabisa, hakuna malalamiko wanayashughulikia hata wangelalamikiwa vipi, nilitegeea hawa wangekuwa wa kwanza kuongeza mapato ya serikali kwa kuwatoza fine wenye miziki mikubwa mitaani, siyo kwenye bar tu, hata saloon za kunyoa pamoja na wauza CD, daladala na wengine majumbani mwao nako ni shida,

NEMC kuweni wabunifu, tengenezeni kikosi kazi kiwe kinazunguka mitaani na kuwabaini hao wapiga miziki kwa sauti ya juu, wakamateni watozeni faini ili kuiongezea serikali mapato
 
Kaka una wazo zuri sana lakini kumbuka wenye bar Ni watu wenye pesa nyingi halafu wanauza pombe.
Mtu kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa au NEMC kufika akaleweshwa na kongoro, ndito na pombe za bure akasahau kilichompeleka.
Hilo tatizo lipo tangu enzi za Dito, Makamba, Kandoro, Lukuvi mpaka wengine walidiriki kudhalilisha watu eti wamezaa nje ya ndoa. Tatizo liko pale pale.
Ni Kama kutaka kuondoa changidoa Dar.
 
Imekuwa ni kawaida sana katika mitaa mingi hapa Dar es salaam kuanzisha Bar zinazopiga muziki kwa sauti ya juu. Mimi sio mtalaamu wa sauti lakini kitendo cha "mabar" yaliyo karibu na makaazi ya watu kupiga muziki kwa sauti kubwa bila kujari usumbufu wanaosababisha HAIKUBALIKI.

Naomba kuchukua fursa hii kumuomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja idara ya afya katika kata zetu kuingilia kati. Makele na miungurumo ya muziki ni kero mno.

Nafahamu watu wa "mabar" wanatumia njia ya kupiga muziki wa sauti kubwa kama njia ya kuwavuta wateja wao. Lakini wanashindwa kufahamu kwamba muziki wa sauti kubwa ni kero kubwa kwenye makaazi ya watu wanaozunguka. Kama mwenye bar anataka kupiga muziki kwa sauti kubwa ni jukumu lake kutengeneza utaratibu wa kuhakikisha sauti ya muziki wake haiwi kero kwa majirani zake.

Nimechukua njia hii ya kufikisha ujumbe kwa idara zinazohusika kwa sababu wananchi wengi wanashindwa kulalamika kwa kuongopa nguvu za wenye "mabar".

Kama njia ya dharura, nichukue fursa hii kumuomba IGP Siro kutumia vijana wake wa patrols kuwachukulia hatua mabar yote yanayopiga muziki kwa sauti kubwa kwenye makaazi ya watu.
Kwa kweli hii imekuwa ni kero kubwa sana, kwa mfano mi sehemu nayoishi kuna bar inapiga makelele ya muzik mpaka saa sita usiku wakati mwingine mpaka saa saba ila tukipiga simu polis wakija siku hiyo muziki unapunguzwa kesho yake hali inaludi luea ileile.
Kwa anayefahamu wapi tunaweza pata msaada tafafhali tusaidiene hata ikiwezekana na number za simu pia kwa wahusika.
 
Kwa kweli hii imekuwa ni kero kubwa sana, kwa mfano mi sehemu nayoishi kuna bar inapiga makelele ya muzik mpaka saa sita usiku wakati mwingine mpaka saa saba ila tukipiga simu polis wakija siku hiyo muziki unapunguzwa kesho yake hali inaludi luea ileile.
Kwa anayefahamu wapi tunaweza pata msaada tafafhali tusaidiene hata ikiwezekana na number za simu pia kwa wahusika.
Pole sana. Nimeambiwa twende ofisi ya Kata, pale kuna idara ya afya. Hawa ndio wanahusika na haya masuala. Ofisa wa Idara ya afya atafika kwenye bar hiyo na kuthibitisha kama sauti za muziki hupo juu ya standards. Kama ulivyosema "polisi wa doria" ndio wangekuwa msaada wa kwanza kuzuia makele ya muziki ya "mabar" yaliyo karibu na makaazi ya watu. Na kama ofisa wa afya wa kata atazingua nenda kwa watu wa NEMC. Kuna mabar hadi yamefunga biashara baada ya kushindwa kuzingatia sheria zinazozuia makele katika makaazi ya watu.
 
Imekuwa ni kawaida sana katika mitaa mingi hapa Dar es salaam kuanzisha Bar zinazopiga muziki kwa sauti ya juu. Mimi sio mtalaamu wa sauti lakini kitendo cha "mabar" yaliyo karibu na makaazi ya watu kupiga muziki kwa sauti kubwa bila kujari usumbufu wanaosababisha HAIKUBALIKI.

Naomba kuchukua fursa hii kumuomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja idara ya afya katika kata zetu kuingilia kati. Makele na miungurumo ya muziki ni kero mno.

Nafahamu watu wa "mabar" wanatumia njia ya kupiga muziki wa sauti kubwa kama njia ya kuwavuta wateja wao. Lakini wanashindwa kufahamu kwamba muziki wa sauti kubwa ni kero kubwa kwenye makaazi ya watu wanaozunguka. Kama mwenye bar anataka kupiga muziki kwa sauti kubwa ni jukumu lake kutengeneza utaratibu wa kuhakikisha sauti ya muziki wake haiwi kero kwa majirani zake.

Nimechukua njia hii ya kufikisha ujumbe kwa idara zinazohusika kwa sababu wananchi wengi wanashindwa kulalamika kwa kuongopa nguvu za wenye "mabar".

Kama njia ya dharura, nichukue fursa hii kumuomba IGP Siro kutumia vijana wake wa patrols kuwachukulia hatua mabar yote yanayopiga muziki kwa sauti kubwa kwenye makaazi ya watu.

Tunatakiwa kuanzisha kampeni ya kumng'oa Mkurugenzi wa NEMC na watendaji wake wote, hakuna wanachofanya, Polisi wanapatrol kila kona kutafuta wahalifu, wao NEMC wamejifungia maofisini wakati kero zinashamiri kwa wananchi badala ya kuwa wabunifu wa kuwaondolea kero wananchi,

Nashauri wahanga wote tuungane kumwomba Rais amwondoe madarakani Mkurugeni wa NEMC kwakuwa hana jipya na wala siyo mbunifu.
 
Pole sana. Nimeambiwa twende ofisi ya Kata, pale kuna idara ya afya. Hawa ndio wanahusika na haya masuala. Ofisa wa Idara ya afya atafika kwenye bar hiyo na kuthibitisha kama sauti za muziki hupo juu ya standards.


Huu ni uhuni wa kukwepa majukumu, kwasababu;
  1. Hao maofisa wa afya wa kata ni wala rushwa wakubwa, wanachofanya wanawasiliana na wamiliki kuwa wanakwenda kuwakagua, wakifika pale muziki upo low volume, ushahidi hakuna.
  2. Baadhi ya masikio yamejaa nta, wakifika pale kwenye bar hawasikii kelele, wanaishia kusema muziki huu unaruhusiwa
  3. Hao maofis afya hawana hata sound meter za kupimia kiasi cha kelele, kwa maana hiyo wakifika hata ku justfy kiwango kinachoruhusiwa inakuwa kwa kukisia tu, tulitegemea wawe na kipimo kinachosoma kiasi cha noise kinachokubalika kama ilicyo kipima mwendo wa magari cha traffic police
 
Na kama ofisa wa afya wa kata atazingua nenda kwa watu wa NEMC. Kuna mabar hadi yamefunga biashara baada ya kushindwa kuzingatia sheria zinazozuia makele katika makaazi ya watu


MEMC walitakiwa kuwa wabunifu badala ya kusubiri wananchi wawafuate walipo, kwa mfano kuna mzee miaka 88 anaumwa yupo nyumbani kwake bar inapiga muziki 24 hrs, fikiria huyo mzee atapata wapi nguvu za kwenda kuwatafuta hao NEMC?

NEMC walitakiwa kuwa na watch dogs wao wanaozunguka mitaani na sound meters na gps, wanasoma vipimo na kwenda kuwashitaki wahusika, then hao whatch dogs wanalipwa % kutokana na fine watakazotozwa wenye bar.

Pili NEMC wnatakiwa kufunga bar zote zilizopo kwenye makazi ya watu na kuwashitaki wanaotoa vibali vya kuendesha bar katika mazingira yasiyoruhusiwa

NEMC wanatakiwa kusimamia sheria ya kuwataka wote wanaopiga miziki wafunge sound proof, kama mtu anaweza kununua muziki wa 1,000,000 anashindwaje kufunga vizuia kelele?

MEMC wanatakuwa kuwa na ukurasa wa mtandao wa kupokelea malalamiko ya wananchi badala ya kumtaka mwananchi aende ofisni kwao na barua, utaratibu wanaoutumia umepitwa na wakati, wamekosa ubunifu
 
Kwa kweli hii imekuwa ni kero kubwa sana, kwa mfano mi sehemu nayoishi kuna bar inapiga makelele ya muzik mpaka saa sita usiku wakati mwingine mpaka saa saba ila tukipiga simu polis wakija siku hiyo muziki unapunguzwa kesho yake hali inaludi luea ileile.
Kwa anayefahamu wapi tunaweza pata msaada tafafhali tusaidiene hata ikiwezekana na number za simu pia kwa wahusika.

Kuna Bar inaitwa London ipo Ubungo Maziwa imezungukwa na nyumba za watu, inapiga muziki mkubwa balaa, cha kushangaza ni kwamba haohao watendaji wa NEMC wanakuwepo hapo wanakunywa pombe na wala hawaguswi na kadhia hiyo.

Naishauri serikali ibadili utaratibu, watumishi wa NEMC walipwe kwa idadi ya kero wanazotauta kwa mwezi
 
Msiiishie kwenye mabar pekee. Kuna Makanisa ya Kilokole ni zaidi ya Night Clubs huo mziki wake wa Mapambio. Kuna hawa wengine wamefunga Vipaza Sauti juu ya Nyumba za kuabudia kila saa 11 Alfajiri lazima uamshwe tuuu upende usipende. Eee Mungu wa Mbinguni shusha mkono wako kwa hawa Viumbe wanaotutesa na kelele kwa Kisingizio cha Jina lako.
 
Imekuwa ni kawaida sana katika mitaa mingi hapa Dar es salaam kuanzisha Bar zinazopiga muziki kwa sauti ya juu. Mimi sio mtalaamu wa sauti lakini kitendo cha "mabar" yaliyo karibu na makaazi ya watu kupiga muziki kwa sauti kubwa bila kujari usumbufu wanaosababisha HAIKUBALIKI.

Naomba kuchukua fursa hii kumuomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja idara ya afya katika kata zetu kuingilia kati. Makele na miungurumo ya muziki ni kero mno.

Nafahamu watu wa "mabar" wanatumia njia ya kupiga muziki wa sauti kubwa kama njia ya kuwavuta wateja wao. Lakini wanashindwa kufahamu kwamba muziki wa sauti kubwa ni kero kubwa kwenye makaazi ya watu wanaozunguka. Kama mwenye bar anataka kupiga muziki kwa sauti kubwa ni jukumu lake kutengeneza utaratibu wa kuhakikisha sauti ya muziki wake haiwi kero kwa majirani zake.

Nimechukua njia hii ya kufikisha ujumbe kwa idara zinazohusika kwa sababu wananchi wengi wanashindwa kulalamika kwa kuongopa nguvu za wenye "mabar".

Kama njia ya dharura, nichukue fursa hii kumuomba IGP Siro kutumia vijana wake wa patrols kuwachukulia hatua mabar yote yanayopiga muziki kwa sauti kubwa kwenye makaazi ya watu.
Sambamba na bar na majumba ya starehe, waangalie pia makanisa wanayopiga miziki na maombi kwa sauti kubwa usiku kucha au mchana maeneo ya makazi ya watu. Hatuingilii uhuru wa mtu kuabudu ila sauti zidhibitiwe
 
Acha hizo wewe kutubania
Mama peter atakula wangu atakula wapi?

Walevi na mziki ni sawa na tumbo na msosi
 
Shida nyingine ni kuchagua viwanja vya makazi na biashara wakati wa kununua viwanja. Au cha biashara we unajenga nyumba.
 
Imekuwa ni kawaida sana katika mitaa mingi hapa Dar es salaam kuanzisha Bar zinazopiga muziki kwa sauti ya juu. Mimi sio mtalaamu wa sauti lakini kitendo cha "mabar" yaliyo karibu na makaazi ya watu kupiga muziki kwa sauti kubwa bila kujari usumbufu wanaosababisha HAIKUBALIKI.

Naomba kuchukua fursa hii kumuomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja idara ya afya katika kata zetu kuingilia kati. Makele na miungurumo ya muziki ni kero mno.

Nafahamu watu wa "mabar" wanatumia njia ya kupiga muziki wa sauti kubwa kama njia ya kuwavuta wateja wao. Lakini wanashindwa kufahamu kwamba muziki wa sauti kubwa ni kero kubwa kwenye makaazi ya watu wanaozunguka. Kama mwenye bar anataka kupiga muziki kwa sauti kubwa ni jukumu lake kutengeneza utaratibu wa kuhakikisha sauti ya muziki wake haiwi kero kwa majirani zake.

Nimechukua njia hii ya kufikisha ujumbe kwa idara zinazohusika kwa sababu wananchi wengi wanashindwa kulalamika kwa kuongopa nguvu za wenye "mabar".

Kama njia ya dharura, nichukue fursa hii kumuomba IGP Siro kutumia vijana wake wa patrols kuwachukulia hatua mabar yote yanayopiga muziki kwa sauti kubwa kwenye makaazi ya watu.
Hawa NEMC wapo kuangalia tu mashamba ya Mbowe kama yapo karibu na chanzo cha maji,
 
Back
Top Bottom