Kwa hili bora waniue tu. Sio Makamba wala Rais nina imani nao kuhusu mradi wa Rufiji. Tumepigwa

Hata TTCL na ATCL zilitoa faida na gawio enzi za Jiwe. Upuuzi mtupu wa propaganda na kujilisha upepo wakati kiuhalisia tulikuwa hoi

Mm naona we ndio deceiver . Tueleze JPM alifanikiwa wapi hadi hatukuwa na mgao kama huu : na nyie Kenge mmefeli wapi kutupeleka Kwenye mgao few months baada ya kupora nchi ?


Unapojaribu kuua legacy ya JPM tafakari katika hayo hapo juu
 
Kwa kifupi tu nchi imeenda mapumziko! Hamna lolote la msingi litakalofanyika zaidi ya wizi na dili mpaka pale Hangaya atapoachia madaraka.

Nchi ipo kwenye auto pilot mode.

Wengi anaowaweka kwenye sekta nyeti wako kimkakati tu.
Ndo kusema IPO 'interphase' au mpito eeh🤔!?
Mungu asaidie tushiishue Go I 🙈!
Huu mpito upite haraka I 🙈!
Eti aliyekuwa anapora machimbo ya madini alipokabidhiwa ramani ya madini Tz na babae Leo hii kapewa na udongo wote wa nchi hii Leo hii🤔!
Hivi hangaya anatuona watz wote hamnazo eeh!?
 
Ndo kusema IPO 'interphase' au mpito eeh🤔!?
Mungu asaidie tushiishue Go I 🙈!
Huu mpito upite haraka I 🙈!
Eti aliyekuwa anapora machimbo ya madini alipokabidhiwa ramani ya madini Tz na babae Leo hii kapewa na udongo wote wa nchi hii Leo hii🤔!
Hivi hangaya anatuona watz wote hamnazo eeh!?
Hangaya ni hangayaless
 
Akija kutokea keghonga ndio itakuwa balaa nchi itapaa Sana Mana Hawa majamaa huwa yanapiga kazi utanitani na kuchekacheka hakuna hizo Mambo.
Ni kazi na kwenda mbele. Keghonga Napa amini Sana Mana ndo Ile original real ilipo.
Kiongozi kigonga itakuwa noma sana atoke nyantira,nyansicha,Nyamwaga au kobori
 
Mimi namchagua Kalemani awe msimamizi wa ujenzi wa bwawa JNHPP vinginevyo ujenzi wa hili bwawa halitamalizika na fedha zetu nyingi zimeshatumika na sisi bado tunalihitaji sana kama wenzetu Ethiopia pamoja na vita kuendelea lakini ujenzi wa bwawa lao pamoja na Nuclear plant unaendelea bila kusimama. Viongozi wetu watuonyeshe kwamba hawahusiki na kuhujumu mradi huu vinginevyo 2025 itaamua
Kalemani kwa utawala huu hawezi kufanya lolote. JPM hakuwa kichaa kukimbiza hii miradi, alijua namna alivyoingilia dili za wakubwa na wazito kwelikweli. Sasa wapo in control na wanasafisha kila angle ili mirija yao ya kifisadi isiguswe tena!
 
Kuna wazalendo wanachomolewa kwa kufikiriwa ni team JPM kumbe ni wapiganaji wa Taifa hili. Very shame!
 
Sina imani na Makamba na Rais Samia kuhusu mradi wa bwawa la Nyerere, huenda Makamba anatumiwa na nchi za kigeni.

Hivi huu mgao wa umeme mnaounaje? Kiukweli maswali ni mengi mno, wanasema wanarekebisha ili tuhamie kwenye umeme wa gesi, ukiwauliza kwa gesi ipi wakati gesi ina mwenyewe?

Utaratibu uliopo ni kuwa serikali kupitia Tanesco itanunua gesi kutoka kwa mwekezaji pale mtwara wakishanunua ndo nao wazalishie umeme na watuuzie.

Zamani nilifikirigi ni serikali inachukua tu gesi yake inazalisha umeme kumbe sio kweli kumbe tunaenda kununua gesi kutoka kwa hao wawekezaji wenye vitalu then wanatuuzia na sisi ndo tunaipeleka Tanesco wanazalisha umeme nao wanauuza kwa wananchi.

JPM baada ya kuingia madarakani na kugundua gesi ilishachukuliwa na mikataba ishasainiwa huwezi kuivunja, ilibidi kinyonge akubali tu kuwa tushapigiwa.

Unaambiwa hakuna mkataba ulimuumaga Magufuli kama mkataba wa gesi wa Mtwara, mzee wa watu akaona isiwe kesi akaona wacha apambane ajenge mradi wa Steglaz wa bwawa la Nyerere tupate megawatt 2200 kwa wakati mmoja.

Umeme ambao ni mwingi kwani hata mamitambo yote ya gesi yaliyoko nchi hii uyaunganishe yote hayawezi toa megawat 300 lakini maporomoko ya Rufiji Nyerere Dam pekee yatatoa megawatt 2200 kwa wakati mmoja huu ni umeme mwingi tutauza nchi zaidi ya 5 nje!

Lakini cha ajabu sasahivi wameachana na huu mradi ghafla wamerukia kwenye umeme wa gesi.

Wamerukia kwenye umeme wa gesi ambao ni ghali na gharama kubwa kwa faida ya nani? Ni nani anafaidika na hiyo mikataba ya gesi? Ninani yupo nyuma ya hili?

Kwanini wameacha umeme nafuu wa bwawa la Nyerere na umeme wa uhakika na bei rahisi na kurukia umeme wa gesi ambao ni ghali na ni gesi ya kununua kwa mwekezaji?

Nani atafaidika tukianza kununua gesi kwa mwekezaji halafu wanatupangia bei halafu na tanesco watuuzie hawaoni ni biashara kichaa ya hasara watakaofaidika ni wawekezaji wanaotuuzia gesi yetu wenyewe?

Muulizeni Makamba iko wapi output ya mradi wa gesi wa Kinyerezi? maana nasikia megawatts zilizotarajiwa zingepatkana hazijafikia hata nusu?

Hivi mnajua mradi wa bomba la gesi Mtwara inasemekana serikali ya Jk ilikopa? Mradi wa gesi wa Kinyerezi wa gesi pia walikopa sasa chukua hyo mikopo yote jumlisha na bado hiyo gesi watauziwa na mwekezaji maana gesi siyo yetu tena bado watapangiwa bei ya kutuuzia umeme hao tanesco sasa kwa haya yote mnadhani tutafaidika nini kama nchi?

Hivi wanadhani mwendazake alikua hana akili alivyoachana na haya mauzauza ya gesi? Hivi hawa jamaa wanatuonaje?

Makamba aliingia mkataba na kampuni ya kihindi kutoka India kwa ajili ya kukodi app (application software) ya kutumika Tanesco eti hiyo software alikodi kwa bilioni 70 jamani hii nchi daaah, bilioni 70 ukodi software? Uwiiii hivi kuhama bongo unabonyeza ngapi?

Ilitakiwa ikifika November 2021 bwawa la Nyerere liwe limeshajazwa maji tayari kwa kuanza kazi, lakini cha ajabu Mama akamtoa Waziri Kalemani mchapakazi na akamuweka Makamba!

Hadi leo Kalemani katolewa bila kufanya kosa lolote lile. Halafu Makamba anaulizwa bungeni kwanini maji hayajajazwa hadi leo anatoa sababu ambazo hazieleweki, mara ooh et winchi ya kuchimbia moja haipo eti hadi iagizwe nje! Mara shimo lilikosewa kuchimbwa! Huu mradi nahisi unacheleweshwa tu, na nchi za magharibi wanaupiga vita huu mradi kwasababu.

Wanaupigavita huu mradi maana wanajua mkishakua na huu mradi tatizo la umeme litabaki historia nchini, na watapoteza soko la kuuza solar, majenereta, mafuta na maumeme yao ya ghali nchini.

Huu mradi unapigwa vita balaa kila rais alotaka kujenga huu mradi alizuiwa na kupigwa biti na wazungu na mabepari wa dunia hii kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK

Wote walitaka jenga ila mabeberu wakawapiga biti wasijaribu JPM ndio mwanaume pekee alosema liwalo na liwe na siogopi, Uwiii sina imani na Makamba juu ya huu mradi. Sidhani kama ana nia ya huu mradi uishe hata maza simuamini ktka hili.

Jamani leo kwa mara ya 1 nasema simwamini mtu yeyote juu ya huu mradi sina imani kabisa na yoyote yule.

Bimkubwa kwanini alimtoa Kalemani? Unajua nyie watu mimi sielewi mjue! simwamini Makamba toka aingie ni migao tu ya umeme na umeme kukatika ovyo.

Sasa nitaamini vipi kwamba ana nia ya dhati ktk kukamilisha miradi ya mwendazake ambayo alijitoa sadaka liwalo na liwe ili huo mradi ujengwe?

Kwa hili na waniue kabisa lakini hivi vitu vinakera kabisa!!!
Tuwe na kumbukumbu. Mradi wa kufua umeme wa gesi wa kinyerezi II wa 240MW ulizinduliwa na Magufuli mwaka 2018...Angekuwa hataki miradi ya gesi angefungua kweli?
 
Sina imani na Makamba na Rais Samia kuhusu mradi wa bwawa la Nyerere, huenda Makamba anatumiwa na nchi za kigeni.

Hivi huu mgao wa umeme mnaounaje? Kiukweli maswali ni mengi mno, wanasema wanarekebisha ili tuhamie kwenye umeme wa gesi, ukiwauliza kwa gesi ipi wakati gesi ina mwenyewe?

Utaratibu uliopo ni kuwa serikali kupitia Tanesco itanunua gesi kutoka kwa mwekezaji pale mtwara wakishanunua ndo nao wazalishie umeme na watuuzie.

Zamani nilifikirigi ni serikali inachukua tu gesi yake inazalisha umeme kumbe sio kweli kumbe tunaenda kununua gesi kutoka kwa hao wawekezaji wenye vitalu then wanatuuzia na sisi ndo tunaipeleka Tanesco wanazalisha umeme nao wanauuza kwa wananchi.

JPM baada ya kuingia madarakani na kugundua gesi ilishachukuliwa na mikataba ishasainiwa huwezi kuivunja, ilibidi kinyonge akubali tu kuwa tushapigiwa.

Unaambiwa hakuna mkataba ulimuumaga Magufuli kama mkataba wa gesi wa Mtwara, mzee wa watu akaona isiwe kesi akaona wacha apambane ajenge mradi wa Steglaz wa bwawa la Nyerere tupate megawatt 2200 kwa wakati mmoja.

Umeme ambao ni mwingi kwani hata mamitambo yote ya gesi yaliyoko nchi hii uyaunganishe yote hayawezi toa megawat 300 lakini maporomoko ya Rufiji Nyerere Dam pekee yatatoa megawatt 2200 kwa wakati mmoja huu ni umeme mwingi tutauza nchi zaidi ya 5 nje!

Lakini cha ajabu sasahivi wameachana na huu mradi ghafla wamerukia kwenye umeme wa gesi.

Wamerukia kwenye umeme wa gesi ambao ni ghali na gharama kubwa kwa faida ya nani? Ni nani anafaidika na hiyo mikataba ya gesi? Ninani yupo nyuma ya hili?

Kwanini wameacha umeme nafuu wa bwawa la Nyerere na umeme wa uhakika na bei rahisi na kurukia umeme wa gesi ambao ni ghali na ni gesi ya kununua kwa mwekezaji?

Nani atafaidika tukianza kununua gesi kwa mwekezaji halafu wanatupangia bei halafu na tanesco watuuzie hawaoni ni biashara kichaa ya hasara watakaofaidika ni wawekezaji wanaotuuzia gesi yetu wenyewe?

Muulizeni Makamba iko wapi output ya mradi wa gesi wa Kinyerezi? maana nasikia megawatts zilizotarajiwa zingepatkana hazijafikia hata nusu?

Hivi mnajua mradi wa bomba la gesi Mtwara inasemekana serikali ya Jk ilikopa? Mradi wa gesi wa Kinyerezi wa gesi pia walikopa sasa chukua hyo mikopo yote jumlisha na bado hiyo gesi watauziwa na mwekezaji maana gesi siyo yetu tena bado watapangiwa bei ya kutuuzia umeme hao tanesco sasa kwa haya yote mnadhani tutafaidika nini kama nchi?

Hivi wanadhani mwendazake alikua hana akili alivyoachana na haya mauzauza ya gesi? Hivi hawa jamaa wanatuonaje?

Makamba aliingia mkataba na kampuni ya kihindi kutoka India kwa ajili ya kukodi app (application software) ya kutumika Tanesco eti hiyo software alikodi kwa bilioni 70 jamani hii nchi daaah, bilioni 70 ukodi software? Uwiiii hivi kuhama bongo unabonyeza ngapi?

Ilitakiwa ikifika November 2021 bwawa la Nyerere liwe limeshajazwa maji tayari kwa kuanza kazi, lakini cha ajabu Mama akamtoa Waziri Kalemani mchapakazi na akamuweka Makamba!

Hadi leo Kalemani katolewa bila kufanya kosa lolote lile. Halafu Makamba anaulizwa bungeni kwanini maji hayajajazwa hadi leo anatoa sababu ambazo hazieleweki, mara ooh et winchi ya kuchimbia moja haipo eti hadi iagizwe nje! Mara shimo lilikosewa kuchimbwa! Huu mradi nahisi unacheleweshwa tu, na nchi za magharibi wanaupiga vita huu mradi kwasababu.

Wanaupigavita huu mradi maana wanajua mkishakua na huu mradi tatizo la umeme litabaki historia nchini, na watapoteza soko la kuuza solar, majenereta, mafuta na maumeme yao ya ghali nchini.

Huu mradi unapigwa vita balaa kila rais alotaka kujenga huu mradi alizuiwa na kupigwa biti na wazungu na mabepari wa dunia hii kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK

Wote walitaka jenga ila mabeberu wakawapiga biti wasijaribu JPM ndio mwanaume pekee alosema liwalo na liwe na siogopi, Uwiii sina imani na Makamba juu ya huu mradi. Sidhani kama ana nia ya huu mradi uishe hata maza simuamini ktka hili.

Jamani leo kwa mara ya 1 nasema simwamini mtu yeyote juu ya huu mradi sina imani kabisa na yoyote yule.

Bimkubwa kwanini alimtoa Kalemani? Unajua nyie watu mimi sielewi mjue! simwamini Makamba toka aingie ni migao tu ya umeme na umeme kukatika ovyo.

Sasa nitaamini vipi kwamba ana nia ya dhati ktk kukamilisha miradi ya mwendazake ambayo alijitoa sadaka liwalo na liwe ili huo mradi ujengwe?

Kwa hili na waniue kabisa lakini hivi vitu vinakera kabisa!!!
Nackia hadi sasahiv limefika asililmia44
 
Gas yetu afu bado tunanunua? Hii nchi JK angetawala kwa miaka 20 tungepigwa mnada aseee. Moja ya maraisi walokua wanasaini mikataba ya hovyo sana ambayo haina maslahi kwa watanzania.

Hawangalii future ya watanzania wanajali matumbo yao hii ndo Tanzania. Hizi dhuluma wanazotufanyia Mungu atadeal nao.

Gas yetu ila bado tunanua inshort tumeuza au mikataba mibovu.atari mkuu
 
Tumeshawahj kuwa na maraisi wawili tu.
Nyerere na Magufuli.

Nadhani Kanda ya ziwa iko poa kutoa viongozi hata kada ya ulinzi nadhani wanaihimili.

Kuna siku tutapata raisi mkurya ndio mtajua hamjui
Kaa ukifahamu kwamba, watu wa Pwani na Zanzibar siyo watu wa kazi ngumu.
 
Back
Top Bottom