Recent content by StephenChafu

  1. S

    Kuwa makini unaponunua muda wa maongezi/vifurushi kwa M-pesa

    Halotel.co.tz ndo dawa yao ukinunua bando hujutii kabisa iwe ya Internet au dakika unakuraaa rahaa mi Voda ipo hewani kwa wananonipigia tuuuu
  2. S

    Anayejua habari za JKT

    Kweli kuchat [emoji23]
  3. S

    Ushauri wenu wakuu kuhusu aina hizi za gari

    Angalia na TOYOTA GAIA pia ni nzuri kwa family na consumption iko vizuri sana na inahimili mikiki yote
  4. S

    Ushauri wenu wakuu kuhusu aina hizi za gari

    Budget yako tu mkuu gari zipo
  5. S

    Tigo 4G ni hatari sana, Halotel ikae mbali sasa

    Hakuna kama halotel na haitakuja kutokea,mimi niko kijijini wiki sasa kilometer 66 toka town kwenye hiyo 4G, halotel haijawahi kusoma 3G wala ni mwendo wa H+
  6. S

    Wapo watumishi wengine ambao bado ni majipu

    Wengine mikono myepesi mkuu kwa vyovyote vile atakujibu mbovu afu kujizuia inashindikana
  7. S

    Wapo watumishi wengine ambao bado ni majipu

    Inaogopesha kuona hadi hii leo pamoja na utumbuaji uliopo bado kuna watumishi ambao hawawajli wateja/wananchi/raia kabisa, watu wanachati Facebook hawamtazami mtu aliye dirishani akisubiri huduma! this is unfair! Nakwazika sana binafsi.
Back
Top Bottom