Kanisa Katoliki Linasimamia Haki Na Kutaka Utawala Bora wenye kuwajali wananchi ,# Sidhani kama Kanisa Lina Mlengo wa Kunufaika Ikiwa Mgombea Atapatikana Bali kiongozi wa wananchi Mwenye kuisogeza Mbele DRC
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Kaka Ahsante kwa Muda wako Kauli Nzuri zenye kushadidiana na Jamii Daima huwaunganisha wananchi Sometime it maybe someone weakness but ikitokea ukatambua kwamba ndio Udhaifu wako Naona ufanisi mkubwa Mbeleni Any way
Nimekuelewa vyema But imagine Kwamba mwenzio kapatwa na maafa makubwa kwa Amri aidha ya serikali au mahakama Kufanyiwa tendo Fulani na maeneo Hayohayo ila Mazingira Fulani Unawakingia Kifua changamoto Je Ikitokea Tanroad au mradi ukahitaji kupitishwa Waendesha implementation wajiandae kupata...
Jamani kweli Uongozi sometimes bila Kuwa na Nguvu ya Mungu huenda ukaongea kitu ambacho ata impact yake hukijui kweli Uongozi nao Ni wito na ni karama pia
Hii Kauli Si Nzuri kwa kiongozi mkubwa kutoa Maneno kama haya kwa Halaiki Binafsi sijapendezwa Licha ya Jitihada kadhaa anazozifanya Na kunishawishi kuunga Mkono Nadhani Ni kutokuujua nini nikaongea katika ziara yangu na Jamii ya watu wa mwanza Suala kama hili la kubomolewa Nyumba Natafsiri kama...
Ni swali Shekhe Albakiri But sina Imani I hali ulidhamiria kupata majibu sahihi Ya kukuridhisha Ni vyema Ukarejea Darasa la Wakubwa Bila shaka watafunguka Tofauti na MTU kama Mimi kutoa maoni I hali Au huenda bado Nikawa sexually immature Ahsante
But Actually Mange Kaeleza Facts katika hali ya Kijamii Lulu was required to share The sympathy Na mama Kanumba Madam Mange Ni maoni Yako Mazuri Kama.kupata nadhani ameyapata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.