Recent content by stephanohonyo

  1. stephanohonyo

    Rais Magufuli: Majizi yamehamia CHADEMA

    Naona mkuu umeandika vizuri lakin umefikiria uliposimama
  2. stephanohonyo

    Ni miaka 15 sasa tangia nianze kunuka sehemu za huku chini

    We mungu hayuko TAG tu mkuu tafakar
  3. stephanohonyo

    Naomba msaada mahali ninakoweza kuipata hii dawa DINOPROSTONE 3MG. ni muhimu mno!

    Afu mara dawa kama oxytocin na dinoprostone hupatikana hospital sana kwa sababu ndipo wagonjwa (mama wajawazito) hupatikan hivyo kusababisha ziwe adimu mtaan hivyo wawez mwambia huyo daktar akwandikie prescription uende hospital utaipata
  4. stephanohonyo

    Naomba msaada mahali ninakoweza kuipata hii dawa DINOPROSTONE 3MG. ni muhimu mno!

    Pole sana mkuu afu inaitwa dinoprostone it's vaginal tablet used to induce labour
  5. stephanohonyo

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Mkuu kweli unatumia utashi wako kuandika maneno hayo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. stephanohonyo

    Je? kuna madhara gani endapo nitafumua vidonge na kuvitumia bila zile plastic au nta zake?

    Lakini pia hata kama kuna madhara ni % ndogo sana ukilinganisha na faida ya dawa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. stephanohonyo

    Je? kuna madhara gani endapo nitafumua vidonge na kuvitumia bila zile plastic au nta zake?

    Hakuna madhara maan ili dawa itengenezwe inahitaji zitu vinavyoitwa kitaalamu pharmaceutical expient ambazo hizo plastic unazosema ni mojawapo ambazo kitaalamu sio plastic ila ni gel like material ambazo zikifika tumboni huyeyuka Sent using Jamii Forums mobile app
  8. stephanohonyo

    Je? kuna madhara gani endapo nitafumua vidonge na kuvitumia bila zile plastic au nta zake?

    Kuna sababu nyingi ambazo husababishwa vidonge kutengenezwa vikiwa vmefunikwa na baadhi yake ni 1. Uchungu wa dawa, hii huwa tatizo kwa mtumiaj 2.kuongeza uwezo wa dawa kufika pahala husika (target area) kuna baadhi ya dawa ambazo humeng'enywa zikiwa tumbon (acidic unstable tablet) hivyo...
  9. stephanohonyo

    WANA JF MSAADA VIFAA USED VYA GYM

    Asante mkuu
Back
Top Bottom