Je? kuna madhara gani endapo nitafumua vidonge na kuvitumia bila zile plastic au nta zake?

Mr Q

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
16,131
33,449
Wakuu habari za majukumu. Binafsi ninapo meza vidonge vyenye nta huwa nahisi tumbo kuvurugika au kuuma sana na huwa napendelea kuvifungua na kumeza ule unga wake tu Sasa naomba mnifahamishe endapo kuna athari zozote ninazo weza kuzipata nikiendelea na utaratibu huo.

N:B Nimekosa kiswahili sahihi na nimeshindwa kuviita vidonge ambavyo mifuniko, mfano ni kama vile vidonge almaarufu kama rangi mbili.
download (3).jpg
 
mimi ni heri nimeze hizo zenye mfuniko kuliko hata paracetamol kwangu ni mtihani


me naona ni sawa tu maana ikifika huko tumboni na kutoa ule ungana binafsi niko kama wewe kwamba hua nafikiri mara nyingi uleunga ndio dawa yenyewe hi ya juu n mifuniko tu
 
Kuna sababu nyingi ambazo husababishwa vidonge kutengenezwa vikiwa vmefunikwa na baadhi yake ni
1. Uchungu wa dawa, hii huwa tatizo kwa mtumiaj
2.kuongeza uwezo wa dawa kufika pahala husika (target area) kuna baadhi ya dawa ambazo humeng'enywa zikiwa tumbon (acidic unstable tablet) hivyo husababisha kupunguza bioavailability ya dawa
3.
4.

Sent using Jamii Forums mobile app
dah asante mkuu kwa maelezo haya. Inabidi kuvumilia tu
 
Kuna sababu nyingi ambazo husababishwa vidonge kutengenezwa vikiwa vmefunikwa na baadhi yake ni
1. Uchungu wa dawa, hii huwa tatizo kwa mtumiaj
2.kuongeza uwezo wa dawa kufika pahala husika (target area) kuna baadhi ya dawa ambazo humeng'enywa zikiwa tumbon (acidic unstable tablet) hivyo husababisha kupunguza bioavailability ya dawa
3.
4.

Sent using Jamii Forums mobile app
kile kifuniko huwa ni sehemu ya dawa??
 
Wakuu habari za majukumu. Binafsi ninapo meza vidonge vyenye nta huwa nahisi tumbo kuvurugika au kuuma sana na huwa napendelea kuvifungua na kumeza ule unga wake tu Sasa naomba mnifahamishe endapo kuna athari zozote ninazo weza kuzipata nikiendelea na utaratibu huo.

N:B Nimekosa kiswahili sahihi na nimeshindwa kuviita vidonge ambavyo mifuniko, mfano ni kama vile vidonge almaarufu kama rangi mbili.
View attachment 551721
hakuna madhara
Hizo plastic huyeyushwa zikivika tumboni.
 
kile kifuniko huwa ni sehemu ya dawa??
Hicho ni kifungashio tu, dawa ni huo unga wa ndani. Swali, kwa nini lazima kiwepo? Hizo dawa zinazowekwa humo zinahitaji mazingira ya acid ili ziweze kufyonzwa mwilini. Mazingira hayo ya acidi yapo tumboni. Ili zifike tumboni lazima zipite kinywani. Kinywa cha binadamu kina mate ambayo ni alkaline. Hiyo dawa ikikutana na mate inafanya neutralization reaction. Matokeo yake haifanyi kazi ilishokusudiwa. Sasa ili kuepusha kadhia hiyo, ndiyo maana ikatafutwa hiyo njia ya kuivusha salama dawa kwenye mazingira kizani ya mate kinywani.
 
Hicho ni kifungashio tu, dawa ni huo unga wa ndani. Swali, kwa nini lazima kiwepo? Hizo dawa zinazowekwa humo zinahitaji mazingira ya acid ili ziweze kufyonzwa mwilini. Mazingira hayo ya acidi yapo tumboni. Ili zifike tumboni lazima zipite kinywani. Kinywa cha binadamu kina mate ambayo ni alkaline. Hiyo dawa ikikutana na mate inafanya neutralization reaction. Matokeo yake haifanyi kazi ilishokusudiwa. Sasa ili kuepusha kadhia hiyo, ndiyo maana ikatafutwa hiyo njia ya kuivusha salama dawa kwenye mazingira kizani ya mate kinywani.
anhaa sawa mkuu kwa ufafanuzi, vipi material ya kile kibebea dawa ni yapi?? vipi kuhusu madhara yake labda??

Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
 
Hicho ni kifungashio tu, dawa ni huo unga wa ndani. Swali, kwa nini lazima kiwepo? Hizo dawa zinazowekwa humo zinahitaji mazingira ya acid ili ziweze kufyonzwa mwilini. Mazingira hayo ya acidi yapo tumboni. Ili zifike tumboni lazima zipite kinywani. Kinywa cha binadamu kina mate ambayo ni alkaline. Hiyo dawa ikikutana na mate inafanya neutralization reaction. Matokeo yake haifanyi kazi ilishokusudiwa. Sasa ili kuepusha kadhia hiyo, ndiyo maana ikatafutwa hiyo njia ya kuivusha salama dawa kwenye mazingira kizani ya mate kinywani.
hapa sasa nimeelewa kumbe unaweza kuwa unabugia tu unga huku mtokeo chanya yakiwa kwa kiwango kidogo mno!!!!!
 
anhaa sawa mkuu kwa ufafanuzi, vipi material ya kile kibebea dawa ni yapi?? vipi kuhusu madhara yake labda??

Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Hakuna kitu kisicho na madhara, ila madhara yake ni kidogo ukilinganisha na manufaa yake. Isitoshe zimetengenezwa kutokana na na vitu vinavyolika (edible polymers).
 
Hayo maplastic ni shida,kwani mpaka yayeyuke wengine wanapata mpaka ulcers,Pia kama ni kidonge hakikisha kivunje kwa usalama,nilishawahi kukuta uchafu na vitu nisivyovieleweka kama ningevinywa sijui ingekuwaje,
 
Back
Top Bottom