Recent content by Stephano Shahidi

  1. S

    Natafuta mchumba mwalimu au nesi alie Bariadi

    Kwangu hilo halipo jiamini usiogope
  2. S

    Natafuta mchumba mwalimu au nesi alie Bariadi

    Siyo sijui kuandika nenda na mada husika
  3. S

    Natafuta mchumba mwalimu au nesi alie Bariadi

    Unataka mwandiko wa darasani au we vipi elewa ujumbe Mimi najua kuandika na mke nitamtunza sawa
  4. S

    Natafuta mchumba mwalimu au nesi alie Bariadi

    Wadau habarini, Mimi Nina tabia nzuri Sana mwenye huruma sijisifu bali naongea ukwwli wangu nilioa mwanamke ambae hakuwa na malezi mazuri alijichanganya mtaani na kufuata uhu I kwa ujumla alikuwa mshamba wa mapenzi alipojua saloon ni nini akachepukamazima. Kwa sasa nahangaika Sana kujua...
  5. S

    Mnaojua utaratibu wa mtoto kurithishwa jina nisaidieni kwa hili

    Mke wangu alipata ujauzito na akajifungua mtoto wa pili akasema nisimwite jina la mama yake kwani mama yake ni mshika madawa Sana. Nilimwita jina lingine mama mkwe akamwambia aje amzalie mtoto wa kike amwite jina la mama mkwe jina kama lilivyo. Alipata mimba ya tatu mimba hiyo kila nikitaka...
  6. S

    Naomba dawa ya kumvuta nimpendaye

    Wadau habarin kuna mwanamke nimempata kupitia mtandao ishu ni je ataniacha au maana bado hatujabond vyema wala kuonana ana kwa ana nipeni dawa nimvute asije pokonyoka
  7. S

    Nimeumia sana hii mechi yetu na Morocco, nimeumia sana na timu yetu ya taifa

    Tatizo la watanzania kwa asilimia kubwa wanapenda starehe za vyakula, vinywaji na wanawake hawathamini kazi. Wachezaji wetu hawathamini kazi zao kwa asilimia zote ndiyo maana wakifungwa sawa wakifunga sawa.
  8. S

    Nalazimishwa kuwa baba wa mtoto

    Wadau habarini, Kuna mwanamke mmoja nilikuwa na mahusiano nae, baada ya miezi mitatu ananiambia ana ujauzito nilipomwuliza kwa kina akasema ni wangu. Baada ya wiki mbili akanionesha mstar uliochora katikati ya tumbo akisema mimba Ina miezi mitatu kwenda wa nne huku Ina mstari...
  9. S

    TRA

    Wadau Kuna issue ya kazi naifukuzia mwisho kesho Mtandao wa TRA mbona unazingua? Natakiwa nipate TIN namba daaaa!!!
  10. S

    Wenye uzoefu wa maumivu ya mapenzi tusaidiane

    Kaza moyo Sana utazoea baadae mm nilikuwa na mke nimeoa aliniachia watoto wawili bado wadogo akaenda kupanga na kudanga Sasa ninamiez Tisa sinae huko aliko alikuwa na ujauzito amejifu gua mwenyewe kwa gharama zake na ananiambia yule mtoto wa tatu siyo wangu kumbuka mtoto wangu wa pil aliienda...
  11. S

    Wanawake Usafi huko chini fanyeni lakini msizidi hadi mkaondoa ile harufu ya asili sababu ndio utamu wenyewe huo

    Waambie haswa wanawake wa kimjini wanapoga mipafyumu yenye harufu Kali kule kati mwishowe unagonga mashine ilimradi tu tena ulitaka kumpitisha ulimi ndo shida Mana kale kaharufu bomba Sana kitu kusisimka na kujisikia raha na kuvutia, mfano ukisogeleana au ukipishana na mwanamke mwenye kaharuf...
  12. S

    Ni yapi majukumu au kazi ya Katibu Mkuu Utumishi?

    Habarini, Hivi ni yapi majukumu ya katibu mkuu utumishi nijuzeni au Kama Kuna PDF ya majukumu hayo nipeni link
  13. S

    Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

    Unavyosema ni sahihi, tatizo utaomba kazi Sana watu wanajuana ile mbaya haswa kwenye nafasi chache Sana mfano nafasi 1 hadi 10 bora nafasi za vijijini Kama za Sensa hapo afadhali.
  14. S

    Machungu ya kukosa ajira

    Mm naona wanaofuzu na kukaa mtaani wangekua vielelezo machuoni kuhusu kujiajiri ili watu wasisome wakidhani mbeleni Kuna ajira
  15. S

    Wazo nililopata kuhusu ajira

    Mm nikupe wazo kawaambie waajiri kuanzia waliomaliza chuo zamani kuja wa Sasa. Wasichanganye wa Sasa na wa zamani, kwenye mtihani ni wazi kabisa mtu alietoka chuo hivi karibuni ni rahisi kukumbuka na kushinda mtihani wa usaili kuliko mtu wa zamani. Najiuliza hivi kitengo Cha PSRS hakina watu wa...
Back
Top Bottom