Mods naomba musiweke mbali uzi huu
Leo CHADEMA ndio wamefunga kampeni zao ambazo ziliongozwa na viongozi wa kanda na kimsingi chadema wanashinda kata hii
hivi ninavyo zungumza makamanda wameenda kufanya dolia kwani ccm wameanza kugawa rushwa bt hali ya kuwadhibiti iko vizuri na tunaamini...
Jana chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kilifanya uzinduzi wake wa kampeni za udiwani katika kata hiyo iliyopi mbeya vijijini
Katika uzinduzi huo ulioongozwa na mratibu kanda ya nyanda za juu kusini baada ya mh Mbowe kuto fika kutokana na sababu zisizo zuilika
Taarifa zinadai kuwa...
Kesho tarehe 19/01/2014 Chama cha Demokrasia na maendeleo kitazindua kampeni zake katika kata ya Santilya ambayo ipo katika jimbo la mbeya vijijini kwa ajiri ya kuanza harakati za kuwania udiwani ktk uchaguzi huo mdogo.
CHADEMA katika uzinduzi huo itaambatana na viongozi waandamizi wa Kanda ya...
Katika mambo ninayo yaunga mkono asilimia 100 ni pamoja na hili
uchaguzi wa chama taifa ukifanyika na ukaacha makundi inaweza ikawa tabu sana kuingia ikulu mana kuna wanasiasa hawawazi mbali wanawaza vyeo vya kichama badala ya kuwaza chadema ishike nchi
Napenda kusema kuwa kama maneno ya...
Ilikuwa ni siku ya jana TAR 09/01/2014 ambapo mteuliwa wa ugombea udiwani kata ya Santilya ndugu Elisha Mwandele kupitia CHADEMA Alipokuwa akichukuwa fomu ya serikali ya kugombea udiwani katika kata hiyo iliyo wazi kutokana na kifo cha diwani wa kata hiyo kupitia CCM.
Mgombea huyo...
Chama hakiwezi kuenda hivo kama unavyopendekeza wewe itakuwa haina tofauti na kilabu cha pombe kwamba mtu akikumwagia pombe leo kesho munakuwa mumesameheana na urafiki unaendelea zzk angeweza na anaweza kusamehewa rakini tatizo ameenda kinyume na utaratibu wa chama hatuwezi kuendesha taasisi...
Mbona mi naona ni kama anajitetea vile,
Tuko upande wa taasisi na sio mtu mmoja tuna heshimu maamuzi ya kamati kuu mpaka maamuzi mengine yatakapo tolewa na kamati kuu au chombo kingine cha maamuzi ndani ya chama na si vinginevyo
MTEJA WAKO ZZK NI MUHAINI, MSALATI WA CHAMA
MIMI NAPENDA...
Mi nadhani mambo hayo yote zzk aliyasahau, na mimi ninavyo dhani ikitokea ishu ikasahaulika kama zingine heshima yake itashuka mala dufu na ni bora angekubali maamuzi ya kamati kuu kuliko anavyo jinyonga nyonga kutaka kujinasua mana hata kile kidogo alicho nacho anazidi kukipoteza
NASHAURI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.