Kwa mimi sina mengi ila naomba usome biblia kisha uje ulimwenguni usome ulimwengu na mabadiliko ya kwanzia miaka ya 90 tu mpaka sasa utagundua ata mwanadamu afanyi mfano anakadiria
Mwenge na ujenzi wa shule hyo ni lazima mwanafunzi kutoa hiyo ni kwa huku kwetu na arambee kanisani ni maamuzi yako lakin usipotoa kitakukuta cha kukuta siku unaitaji msaada wa shirika husika labda kipaimara au ubatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.