Recent content by Step one

  1. S

    Nahitaji bati kumi ili niweze kuezeka chumba changu

    Nina bati 22 za Alaf. Zimebaki baada ya fundi kunikadiria makadirio yasiyo na tija njoo pm tuyajenge. Nilinunua kwa 610000 kwa bando mwezi wa nne mwaka huu
  2. S

    Nataka kuahirisha kuoa Oktoba Mwaka huu

    Tatizo lako lilianzia pale ulipowatangazia hata wale uliowaaminisha kuwa utawaoa na haikuwa hivyo. Kwa nini mnatangaza sana uchumba kuliko ndoa? Kikulacho kinguoni mwako. Ktk vitu ambavyo havishauriwi kuvichelewesha ni vitatu 1. Ndoa 2. Kuzika 3. Kusilimu Hivi vitu huwa vina fitna nyingi...
  3. S

    Naomba kujuzwa faida ya Tangawizi kwenye juisi hasa Juisi ya Parachichi

    Kama umekunywa juice yenye tangawizi na hukugundua lolote basi kunywa yenye avocado pekee
  4. S

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Malaya wawili kwenye mawindo tofauti
  5. S

    Kwa watafutaji wasio na kazi maalumu

    Ahsante ngoja nicheck
  6. S

    Kwa watafutaji wasio na kazi maalumu

    Habari zenu wandugu. Baada ya kupata vijana wa nne ktk tangazo langu la kwanza wale wa kuchoma ashua sasa nimekuja na hili lengo likiwa ni kuinuana na kusaidiana. Kuna laki tatu hapa mfuko wa shati ambazo si nyingi kwa mwenye nazo na pia si ndogo kwa mtafutaji. Nahitaji kijana/vijana ambaye...
  7. S

    Kwa watafutaji wasio na kazi maalumu

    Habari zenu wandugu. Baada ya kupata vijana wa nne ktk tangazo langu la kwanza wale wa kuchoma ashua sasa nimekuja na hili lengo likiwa ni kuinuana na kusaidiana. Kuna laki tatu hapa mfuko wa shati ambazo si nyingi kwa mwenye nazo na pia si ndogo kwa mtafutaji. Nahitaji kijana/vijana ambaye...
  8. S

    Tundu Lissu akiwa DPP mpya, unadhani nini kitatokea?

    Hizi tetesi mnazozitangaza sana sana kama zina Ukweli zinaweza mkosesha ndugu Antipasi ulaji kwa kusema sema kwenu huko. Si mnajua mama nae anapitia pitia humu.
  9. S

    Una kijana asiyechagua kazi? Mlete hapa apate kujishughulisha

    Mkuu agiza Pepsi big hapo gharama juu yako. Yaani watu hawa Dah
  10. S

    Una kijana asiyechagua kazi? Mlete hapa apate kujishughulisha

    Aisee sikuwa nalijua hili nitakujuza mambo yakiwa sawa
  11. S

    Una kijana asiyechagua kazi? Mlete hapa apate kujishughulisha

    Umeongea kwa hasira sana mpaka umenitisha. Mimi sitangazi biashara mkuu mimi nahitaji mtu wa kufanya hiyo kazi tu. Kuhusu sehemu halisi ya kazi siwezi kukutajia kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Kazi yenyewe ndio hiyo tayari nimeibainisha hizo kazi nyingine mnazowapa vijana...
Back
Top Bottom