Slaa ana mapepo saba, aliyapata baada ya kuuasi upadre...hawezi kuongoza nchi kama hana mawasiliano mazuri na mungu wake...simuhukumu ila aendelee tu na biashara zake na hisa alizowekeza chagadema...lakini naamini pamoja na dr slaa kumuasi mungu bado anaweza kumshauri mwekezaji mkuu ndani ya...
Sijui nini kinaendelea katika mfumo wa elimu yetu isipokua ninachokiona ni kuwa,
Tunahitaji kiongozi ambaye hatatumia sekta ya elimu kama mtaji wake kisiasa,
Aheshimu na kuwatumia wataalam na wadau wa elimu kabla na baada ya kufanya maboresho yoyote katika mfumo wa elimu.
Asiyumbishwe na...
Imekua ni kama desturi kumzushia mh ENL mara anaumwa hiki mara anaumwa kile,mwisho wa siku tunamwona akiendelea kuwatumikia wapiga kura wake jimboni na bungeni,na pia kwenye shughuli za kijamii akitembea mwenyewe na akiwa mzima wa afya. Labda sasa ijulikane wazi kuwa huyu mtanzania mwenzetu...
Nashindwa kuwaelewa vijana wa cdm kwa kuendelea kuwakumbatia viongozi wanaoiua cdm,ni wazi chama kilichowahi kuwa na ushawishi mkubwa kwa vipindi viwili mfululizo ni CHADEMA
Chama kilipo sasa kinahitaji refotmation ya uongozi wa juu huku chini mnajua fika hakuna tatizo,kwan nini kinawapa...
Katika hali ya mshangao wanachama wa ccm wameshangazwa na propaganda zinazoenezwa ili kuwachafua wanaodhaniwa kuweza kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
Kwanza wakana kuwepo kwa aina yoyote ya mazingira ya utoaji rushwa na wengine wakathubutu kusema",isipokua kinachoonekana sasa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.