Ki ukweli ni aibu.Dar kuna soko la ndizi mabibo huwa ni chafu lakini hili soko la Sabasaba ni zaidi ya choo.Mvua ikinyesha wenye vyoo vya kulipia na nyumba za jirani wanatapisha vyoo.Kinyesi kinapita katikati ya wachuuzi,hasa wakina Mama wanaopanga bidhaa chini.
Tena bila aibu,soko hili lipo...
Nilidhani ni mie peke yangu,kumbe tupo wengi.Mimi imenikuta wiki mbili zilizopita,nashukuru nimerudia utimamu.Lakini rafiki yangu ana siku ya tano yupo hoi kwa ugonjwa huo huo.Magufuli aliwahi kusema korona ni gonjwa ambalo tutakuwa tumaishi nalo kama ilivyo magonjwa mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.