Recent content by Stayfar

  1. S

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Simba na Yanga hawatakiwi kwenda Bar mwezi mtukufu?

    Wamejipendekeza hizo club ni za waisilamu wa kariakoo
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mawaziri wangu watano bora serikali ya Mama Samia

    Huyu ndiye Waziri mbovu kuliko wote.Kazi yake kucheza na media
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ungekuwa Rais wa Congo ungefanya nini kumaliza migogoro ya kivita?

    Huyo jamaa ni M Ventwaa
  4. S

    JamiiForums Tanzania NIPENI ABCD ZA RWANDA NATAKA NIKATAFUTE MAISHA

    Kuliko kwenda Rwanda. bora uende Geita
  5. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Maafisa Afya Dodoma pitieni Soko la Sabasaba msimu huu wa mvua, vyakula vinapangwa chini kukiwa na matope

    Ki ukweli ni aibu.Dar kuna soko la ndizi mabibo huwa ni chafu lakini hili soko la Sabasaba ni zaidi ya choo.Mvua ikinyesha wenye vyoo vya kulipia na nyumba za jirani wanatapisha vyoo.Kinyesi kinapita katikati ya wachuuzi,hasa wakina Mama wanaopanga bidhaa chini. Tena bila aibu,soko hili lipo...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'?

    Alisikia mpuuzi mmoja.Kojoa ukalale,boya kabisa usiyejua kitu
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MC Alger anafungwa atake asitake. Yanga isiposhinda nipigwe ban ya wiki

    Moderator njoo ule kichwa
  8. S

    JamiiForums Tanzania Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

    Achana naye huyo mchamba wima.Haijui Tanganyika anabwabwaja kama vile anakuywa chai na tambi.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

    Kafie mbali.Mpuuzi mkubwa,na ndiyo maana tunawakalia nyie Wazanzibari
  10. S

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Kinyerezi hatuna maji leo siku ya 3

    Huyo Waziri unayempelekea hayo malalamiko na yeye ni msanii tu.Sielewi kwa nini Raisi hamuondoi.Kaka kwenye Wizara muda mrefu na hana kipya
  11. S

    JamiiForums Tanzania Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

    Pole sana mkuu.Mungu awatie nguvu familia kwa ujumla
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nimeponea tundu la sindano kufa. Serikali ichukue hatua, kuna mlipuko unaua kimya kimya

    Nilidhani ni mie peke yangu,kumbe tupo wengi.Mimi imenikuta wiki mbili zilizopita,nashukuru nimerudia utimamu.Lakini rafiki yangu ana siku ya tano yupo hoi kwa ugonjwa huo huo.Magufuli aliwahi kusema korona ni gonjwa ambalo tutakuwa tumaishi nalo kama ilivyo magonjwa mengine
  13. S

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mkajiandikishe ili mpige kura Serikali za Mitaa

    Safari hii tumewastukia kaijiandikisheni na mpige na mjiibie kura wenyewe hatuji ng'o,
Back
Top Bottom