Recent content by Stayfar

  1. S

    Gerald Hando: Makonda akikutwa na hatia atafukuzwa Kazi ya Ukuu wa Mkoa

    Msijidanganye,huyo hatoki Labda Mama Samiah asiwe Raisi,hao wengine hawamuwezi na hawamfanyi chochote ataendelea kupeta
  2. S

    Nina alizeti nataka kukamua

    Mikoa ya Pwani na Dar kupata mashine ya kukamua Alizeti ni ngumu sana.Kwa mfano Dar mi naifahamu moja tu ipo Kipunguni Matembele ya 2
  3. S

    Abood ageuka mbogo Mgogoro wa ardhi baina ya Kidondolo na Chuo Kikuu cha Sokoine

    Kweli kipindi hiki cha Chaguzi,tutaona na kusikia mengi.Huyu Abood sijawahi kusikia akiwasemea chochote wapiga kura wake zaidi ya mabasi ya kusindikiza misiba
  4. S

    DART kuchukua hatua dhidi ya Dereva na Wasimamizi wa Mwendokasi waliowapeleka Abiria Morocco badala ya Kimara

    Kweli kabisa.Ifike mahali tunadunda,ili wapeleke ujumbe Kwa wakubwa wao
  5. S

    DART kuchukua hatua dhidi ya Dereva na Wasimamizi wa Mwendokasi waliowapeleka Abiria Morocco badala ya Kimara

    Mpuuzi kabisa wewe.Inawezekana upo huko iselamagazi,hujui abiria tunapataje shida na hawa Madereva na wasimamizi wa mwendokasi.Kwa hiyo nyamaza.Boya kabisa
  6. S

    Kwanini MO Dewji anataka kufunga kiwanda chake cha chai Nchini Tanzania? Bashe amgomea!

    Cha kwanza aanze kufunga uekezaji wake na atuachie Simba yetu.Huku sisi hatumuhitaji,mwambieni aanzie kuachia Simba,halafu huko kwingine watajijua na Bashe wake
  7. S

    Ushauri kwa Kampuni itakayoshinda zabuni ya kutoa huduma ya Mwendokasi

    Nakuunga mkono kabisa.Watanzania waajiriwe kufuta vioo,kuosha Magari na kusafisha Maliwatoni tu.Basi!
  8. S

    Ushauri kwa Kampuni itakayoshinda zabuni ya kutoa huduma ya Mwendokasi

    Ndiyo maana nikasema hao wenye asili ya UDART,wasiajiliwe,wapo Watanzania wengine ambao hawana ajira,wao ukiwapa mfumo uendeje watatimiza,Siyo hao ambao tayari wameshakuwa na vimelea vya kuharibu badala ya kujenga.Ukiwaajili hao, akili yao ipo tuned kwenye ubadhirifu na uzembe kwa sababu ndivyo...
  9. S

    Ushauri kwa Kampuni itakayoshinda zabuni ya kutoa huduma ya Mwendokasi

    Kampuni hiyo isithubutu kuajiri au kuwarithi wafanyakazi waliokuwa kwenye Kampuni ya UDART. Njooni na Wafanyakazi wenu wapya, kwenye interview mkimhoji mtahiniwa na akasema yeye alikuwa UDART, asipewe kazi kabisa Kwa sababu wafanyakazi wa Kampuni hiyo ni wa hovyo, wasikojua customer care wala...
  10. S

    Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Hamna kitu ndugu yangu.Utashangaa hizo Kampuni wanazisema ni za Watanzania ni za hao vigogo. Watapambana wachukue hiyo tender halafu waturudishe kulekule
  11. S

    Chumvi imeadimika mitaani

    Maeneo mengi ya nchi ilikuwa ni hivyo.pakti 3 buku.Hivi sasa hakuna
  12. S

    Chumvi imeadimika mitaani

    Namaanisha Chumvi ya jikoni,munyu,
  13. S

    Chumvi imeadimika mitaani

    Dar hihii nenda maduka ya kitumbini Chumvi ni mtihani
  14. S

    Chumvi imeadimika mitaani

    Haijapata kutokea,hata ilipokuwa kipindi cha uongozi wa Hayati Baba wa Taifa,hatukuwa kupitia hali hii Chumvi kukosekana.Ajabu sana awamu hii, Chumvi imekuwa bidhaa adimu madukani. Ilianza Dola, Umeme, ikaja Sukari, Sasa ni zamu ya Chumvi. Madini tunayochimba hapahapa nchini. Kuanzia Kigoma...
  15. S

    Waandishi wa Habari Simiyu watangaza kutofanya kazi na DC Bariadi

    Sasa nyie waandishi wa Bariadi mtaripoti nini Cha maana kwa wananchi kama hamtafanya kazi na huyo DC?.Au ndiyo tusubiri habari za Gamboshi?
Back
Top Bottom