Kweli kipindi hiki cha Chaguzi,tutaona na kusikia mengi.Huyu Abood sijawahi kusikia akiwasemea chochote wapiga kura wake zaidi ya mabasi ya kusindikiza misiba
Mpuuzi kabisa wewe.Inawezekana upo huko iselamagazi,hujui abiria tunapataje shida na hawa Madereva na wasimamizi wa mwendokasi.Kwa hiyo nyamaza.Boya kabisa
Cha kwanza aanze kufunga uekezaji wake na atuachie Simba yetu.Huku sisi hatumuhitaji,mwambieni aanzie kuachia Simba,halafu huko kwingine watajijua na Bashe wake
Ndiyo maana nikasema hao wenye asili ya UDART,wasiajiliwe,wapo Watanzania wengine ambao hawana ajira,wao ukiwapa mfumo uendeje watatimiza,Siyo hao ambao tayari wameshakuwa na vimelea vya kuharibu badala ya kujenga.Ukiwaajili hao, akili yao ipo tuned kwenye ubadhirifu na uzembe kwa sababu ndivyo...
Kampuni hiyo isithubutu kuajiri au kuwarithi wafanyakazi waliokuwa kwenye Kampuni ya UDART. Njooni na Wafanyakazi wenu wapya, kwenye interview mkimhoji mtahiniwa na akasema yeye alikuwa UDART, asipewe kazi kabisa
Kwa sababu wafanyakazi wa Kampuni hiyo ni wa hovyo, wasikojua customer care wala...
Hamna kitu ndugu yangu.Utashangaa hizo Kampuni wanazisema ni za Watanzania ni za hao vigogo. Watapambana wachukue hiyo tender halafu waturudishe kulekule
Haijapata kutokea,hata ilipokuwa kipindi cha uongozi wa Hayati Baba wa Taifa,hatukuwa kupitia hali hii Chumvi kukosekana.Ajabu sana awamu hii, Chumvi imekuwa bidhaa adimu madukani.
Ilianza Dola, Umeme, ikaja Sukari, Sasa ni zamu ya Chumvi. Madini tunayochimba hapahapa nchini. Kuanzia Kigoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.