Recent content by stature

  1. S

    Rais Mstaafu Kikwete akataa kuishi Msoga? Anataka kuishi wapi?

    Yule bwana hawezi kuishi kule, kule ni kwa kupumzika, kwanza ofisi ya Rais mstaafu aliyopewa na serikali ipo Dar unataka aendelee kuchoma mafuta kila siku kwenda dar toka Chalinze kwa kodi zetu? Licha ya hivyo unataka kutuaminisha kuwa hana nyumba nyingine dar kabla ya kuwa Rais alikuwa anakaa...
  2. S

    Gazeti la Uhuru lamuomba msamaha Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi kwa uzushi

    Huyo katibu mkuu si ndio sasa kamishina wa TRA mpya. Gazeti limehofu kitu gani?
  3. S

    Katibu Mkuu Kiongozi Vs. Waziri Mkuu, nani mwenye mamlaka/mkubwa kwa mwenzie?

    Kumlinganisha katibu mkuu kiongozi na Waziri mkuu, nao ni ulofa. Viongozi wakuu was serikali ni Rais, makamu wa rais na Waziri mkuu kama hivi ndivyo katibu mkuu kiongozi anakuwaje na madaraka makubwa. iweje mtu aliyeidhinishwa na bunge kwa niaba ya wananchi awe sawa au azidiwe kimaradaka na yule...
  4. S

    Jakaya Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon UN?

    Upuuzi mtupu, wabongo bana wanatumia muda mwingi kuwazia wenzao madaraka wakati wao wana hali mbaya. Kwa lipi amrithi Ban?
  5. S

    Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

    Wandishi wengi ni shida TZ. Unapomuliza ametumia vigezo gani pengine ni pale unapokuwa umeona mapungufu ya msingi kwa wateuliwa lkn unaweza kukuta mwandishi hakujiridhisha kama ndio hi yo akambilia kuuliza swali. Wandishi wengi wanapenda kuliza maswali ya kuvizia/provocating ili waonekane turn...
  6. S

    Rais Dk. John Magufuli kuhamia Dodoma

    Hizo ni mbinu za kumfanya Rais ashindwe kutekeleza kauli mbiu yake ya hapa kazi tu.atawajibishaje wazembe akiwa mbali na ofisi za serikali na hata kubali. Ikulu kusafishwa ni kawaida na mara nyingi Waziri mkuu huapishwa Dodoma!
  7. S

    Magufuli usitumie mshahara wako, tuwekee namba ya M-Pesa tukuchangie

    Mleta mada amepatwa na kiwewe yaani ambayo yanapaswa kufanywa na serikali ye kwake anaona ni hisani. Mzee funguka kwenye nchi nyingine hayo mambo ya kawaida sana na ingekuwa nchi nyingine kutofanyika kwake kungesababisha serikali kuondolewa madarakani. Yaelekea huelewi hata dhana ya uchaguzi.
  8. S

    Magufuli asifiwa na umoja wa ulaya(EU)

    Mkuu hawamsifii yeye wanamini fedha zao za walipa kodi wao wanamini zitafanya kazi iliyokusudiwa kwenye miradi ya maendeleo. Hata ungekuwa wewe inauma nchi yako inatoa fedha halafu wanaopewa wanazitumia kwenye safari ambazo hazina tija kwa main yao. Nafikiri ktk nchi yetu usimamizi ulikuwa...
  9. S

    Tumulike uwezo na utendaji wa Job Ndugai

    Wakuu tuwe wakweli hulka ya Ndugai no MTU mwenye jazba mno na si mvumilivu pengine ndio tofauti kubwa aliyonayo ukimlinganisha na wagombea engine lkn kama lengo ni kulinda maslahi ya chama chetu bungeni huyu jamaa anafaa sana ni mtetezi halisi wa chama, kwa upande wa pili vyama vya upinzani...
  10. S

    Dr. Tulia Ackson, nani amekutuma? Unataka nini? Kwanini?

    Mleta mada ulitaka afanyeje sasa wakati sheria hazirusu mgombea binafsi ni lazima apitie chama cha siasa na kwa vyovyote vile unajua angechagua chama tawala ili aendelee kulinda ajira yake kama ataukosa uspika. yeye binafsi anajiona anauwezo wa kuwa Spika asizuizwe kutimiza ndoto yake tunajua...
  11. S

    Aggrey Mwanri yuko wapi?

    Hivi jamani kutaka mtu awe mbunge muda mrefu, Hii nchi tumelogwa hakuna watu wengine. Tanzania pengine in nchi pekee ambayo MTU anaingia bungeni akiwa kawaida kabisa lkn kutokana na kurudishwa bungeni kila uchaguzi ambako hatutokani na utendaji wake anabadilika na Kuwa tajiri wa kutupwa na hivyo...
  12. S

    Huyu ndio Dr. Emmanuel Nchimbi ninayemfahamu

    Mtakemsitake inaonekana Sitta atarudi tena,Zungu hawezi Kuwa Spika kwa kuwa ni mtu ambaye hana misimamo mikali kama akina Ndugai ni kama yupo neutral kidogo kwa sababu hiyo anaweza akaungwa mkono pia na wapinzani, kwa chama changu ninavyokifahamu huyu mtu hatapitishwa kwa hofu ya kuhatarisha...
  13. S

    Nawaza tu: Magufuli kuundiwa zengwe?

    Mleta Mada acha kumtisha mhe. Rais. Rais ana nguvu ya kikatiba na ameapa kuilinda katiba. Ni watu wachache tu wenye mawazo kama wewe ndio wanaokwamisha maendeleo ya Tanzania. Kwani hao uliowataja ndio wamemchagua Rais pekee?. Kwa bahati nzuri rais amesisitiza wafanyabiashara wakubwa ndio walipe...
  14. S

    Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, ajiuzulu Uongozi ndani ya CCM

    Huu nao ni uchochezi,huyo mbunge hana jina na eneo analotoka no muendelezo tu wa siasa za majitaka. Unaweza kuta mleta mada ana mke na watoto.
  15. S

    Professor Assad ni tunu ya Taifa

    Nilidhani ili hoja yenu iwe na nguvu mngeonesha hata kwa mifano kuwa jamaa amefanya mambo gani, bahati mbaya sana wote mmeishia kubwabwaja, mtendaji mzuri hasifiwi kazi zake ndio zinamtangaza ukiona watu wanatumia nguvu sana ujue kuna tatizo mahala.
Back
Top Bottom