Tumulike uwezo na utendaji wa Job Ndugai

Tumulike uwezo na utendaji wa Job Ndugai

Wakuu tuwe wakweli hulka ya Ndugai no MTU mwenye jazba mno na si mvumilivu pengine ndio tofauti kubwa aliyonayo ukimlinganisha na wagombea engine lkn kama lengo ni kulinda maslahi ya chama chetu bungeni huyu jamaa anafaa sana ni mtetezi halisi wa chama, kwa upande wa pili vyama vya upinzani vitakuwa vimepata pigo kubwa huyu bwana akipita na kwa kweli itakuwa na athari hasi kwa upande huo.
 
Ndugu wanajukwaa tumekutana na purukushani za kisiasa huko majimbon na kitaifa. Kati ya wanasiasa makini waliopo kuna Aliyekuwa naibu spika qa bunge LA 10 Mh Ndugai Job.

Kwa marefu na mapana wengi tunamjua uwezo wake sasa tube upande wa pili. Je ni mtu ambaye anayeendana na kasi ya maendeleo na changamoto za kisiasa za ulimwengu huu?

Nadhani kiongozi hatakiwi kuonyesha emotions zake kwa anaowaongoza, hasa pale unapoudhiwa. J Ndugai ana spirit of anger kwahiyo bado hajafikia level ya kuwa kiongozi mkubwa
 
Mshabiki mno wa ccm ndiyo tatizo lake
 
Ndugai alipokuwa kitini mara nyingi mambo yalienda kombo Zungu anafaa kwa sasa
 
Mtu ambaye alikuwa tayari kutetea maslah ya umma wakati qa scandal ya escrow unasema hafai. Sijui watanzania nani katuroga

Ndugai hafai bhana weee,yaani unataka kubisha tena?mara ngapi ameshindwa kuhimili joto la Bungeni,jaman watz mbona tunakuwa wasahaulifu sana?Ndugai hata jimboni kwake kwenyewe mambo yake si mazur ndo iwe bungeni mule kwenye watu makini kiasi kile?
 
Binafsi naona ukitaka mambo yasonge, ni vizuri sana kuweka Spika asiye kuwa kada wa chama chochote kile!! akubalike kwa utendaji wake wa kazi, mwenye elimu nzuri inayokubalika kitaifa na kimataifa. Tubadilishe kanuni zetu.

Changamoto za kuweka Spika kada, tumeshayapitia - kuna muda baada ya kuisimamia Serikali yeye anaitetea tena waziwazi kabisa. Kwa style hii Serikali inakuwa vigumu kuwajibika.

Ndo hapo sasa,watu wameyasahau yote hayo,wamesahau kabisaaa jinsi wabunge walivyokuwa wakiburuzwa mule na Spika anafikia hatua anamwambia Waziri 'USIJIBU HILO SWALI' leo watu wamesahau kabisa wanarud kulekule
 
Ndugu wanajukwaa tumekutana na purukushani za kisiasa huko majimbon na kitaifa. Kati ya wanasiasa makini waliopo kuna Aliyekuwa naibu spika qa bunge LA 10 Mh Ndugai Job.

Kwa marefu na mapana wengi tunamjua uwezo wake sasa tube upande wa pili. Je ni mtu ambaye anayeendana na kasi ya maendeleo na changamoto za kisiasa za ulimwengu huu?


Watz wako zaidi ya Milioni arobaini hakuna sababu ya ku-recycle the same people. Recycling and re-using the same people means denying others opportunity to use their talents to build our country. Natamani Magufuli alete new faces kabisa kwa nafasi za uwaziri.
 
Wakuu tuwe wakweli hulka ya Ndugai no MTU mwenye jazba mno na si mvumilivu pengine ndio tofauti kubwa aliyonayo ukimlinganisha na wagombea engine lkn kama lengo ni kulinda maslahi ya chama chetu bungeni huyu jamaa anafaa sana ni mtetezi halisi wa chama, kwa upande wa pili vyama vya upinzani vitakuwa vimepata pigo kubwa huyu bwana akipita na kwa kweli itakuwa na athari hasi kwa upande huo.
Sasa wewe ukawa unashindwa hata kuuza mtu? Hofu yako ni Ndugai, usijifanye kuchanganya dawa hapa kwa kujifanya unamsifia wakati ndiye unayemuogopa!
 
Back
Top Bottom