Nilidhani ili hoja yenu iwe na nguvu mngeonesha hata kwa mifano kuwa jamaa amefanya mambo gani, bahati mbaya sana wote mmeishia kubwabwaja, mtendaji mzuri hasifiwi kazi zake ndio zinamtangaza ukiona watu wanatumia nguvu sana ujue kuna tatizo mahala.
Duh watu mnafunua. Mi nilichomaanisha ni ile kauli yake. Kama upo na makandokando hata kama uwe mzuri kiasa gani lazima tu unaweza ukafanya ukaguzi unaoegemea upande mmoja.Mtu mnafiki huonekana hapa hapa. Wewe si umeanzisha thread ya "CAG umechanganya professionalism na siasa".
Hivi nawe pia ni great thinker? Wacha double faces zako hizo!
kweli jamaa kichwa sana, ila mfumo kristo ulimpaka matope sana.