Na pia sasa hivi Wimbi la wanaigeria limerudi tena wamejaa kama wote na wanapasport za kitanzania, magufuli aliwadhibit na wengine walirudishwa wasiokuwa na vibali, wanatumia passport za kitanzania kufanyia mambo Yao ya kitapeli.
Hii ni sad situation kuna mmoja amefungwa hivi karibuni alikuwa akipeleka wasichana kuwafundisha kuogelea akifika kina kirefu anakulazimisha mapenzi ukikataa anakutishia atakuacha uzame so wengine ni victims inasikitisha
Yani naona sasahivi kila mtu analalamika, maisha magumu mwanzo watu walikuwa wanajituma wanafanya vibiasharA mtu akijua upo vizuri kidogo anakuomba kamtaji hata cha kuuza ubuyu, mzee alijua kuamsha watu wasilale wapambane hata kuuza uji, wasikae tu vijiweni sahivi hovyo mitaani vijiwe vimerudi...
Huyo harmonize mwenyewe alikuwa hajitegemei mwenyewe mwanume suruali kula kuvishwa ni Sarah endiwo mama yake ana m hotel na mmiliki ni Sarah mali za Sarah ndo maana mahakama imempA kila kitu chake sarah kabkia suruali tupu na bado atarudi mtwara, mkopo kwa hela gani harmonize anayo ya kumlipa...
Hao wapinzani waangalie na wakae kwa makini hawamjui mama vizuri anawavuta kwa karibu dawa Yao ipo jikoni inachemka, adui yako mvute karibu litawakuta jambo, taratibu bila haraka bila kuacha ushahidi, huyo ni mzenji so wakae tako moja nje wasijiaminishe sana.
Nilishangaa watu wa nchi zingine wakimuongelea magufuli na kumfatilia sana huku ughaibuni, wengine nikiwa kazini walikuwa wanamuulizia kabisa wanatKa kuju a historia yake na wengine walikuwa wananiambia watatembelea Tz kwaajili yake, but mostly pia walikuwa wanasema kwa sera zake na kujali...
Itakuwa watu humu ndani hamumjui Sarah, Sarah ndio alikuwa anampa kiburi harmonize kipesa mama yake Sarah ana mahoteli ya kitalii kama yote Zanzibar, na pia ana hotel za kifarahi italy, harmonize alikuwa akisafiri nchi mbali mbali na yy ndo alikuwa akigharamia, Harmonize alikuwa akienda kucheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.