Hata ungekuwa wewe ni director kwenye business yako, ukaajiri watu wa kukusaidia kazi zako; kama uhasibu, masoko, ghala, nk, je, utaweza kujua kila jambo linaloendelea kwenye kitengo husika? Ni vigumu kujua yanayoendelea chini ya kapeti, vinginevyo mtu akutonye. Hata kama Mheshimiwa Rais...