TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 995
- 1,508
Rais wa nchi na amiri jeshi mkuu kulalamika katika mkutano kwamba wahuni wanamzunguka wanaiba fedha za uma ilihali anawamudu haileti maana kabisa.
Miradi yote katika kila wizara inafahamika ni nani anahidhinisha pesa kwa hatua ya mwisho
Mikataba yote inaeleweka ni lazima ipite kwa mwanasheria mkuu wa serikali
Bado anafahamu hatua zote zinazopitiwa mpaka tender ama manunuzi ya kamilike na zinapitishwa na nani.
Haileti maana kwa yeye kulalamika,,mamlaka anayo yakuweka ndani mtu yeyote yule kwa kufuata protocol why analalama baada yakutumia mamlaka,,ka pwaya
Haileti maana,mtu kama Madilu,AG,hawakutakiwa kuwepo ofisini sasa hivi.
Wanakopa ili wapate kuiba,wanaleta miradi ili wapate sababu yakuibia
Miradi yote katika kila wizara inafahamika ni nani anahidhinisha pesa kwa hatua ya mwisho
Mikataba yote inaeleweka ni lazima ipite kwa mwanasheria mkuu wa serikali
Bado anafahamu hatua zote zinazopitiwa mpaka tender ama manunuzi ya kamilike na zinapitishwa na nani.
Haileti maana kwa yeye kulalamika,,mamlaka anayo yakuweka ndani mtu yeyote yule kwa kufuata protocol why analalama baada yakutumia mamlaka,,ka pwaya
Haileti maana,mtu kama Madilu,AG,hawakutakiwa kuwepo ofisini sasa hivi.
Wanakopa ili wapate kuiba,wanaleta miradi ili wapate sababu yakuibia