URGENTLY NEEDED
Medical Doctor (2)
Requirements:
*Valid licence
*Good in obs, gyn and surgery.
Location- kijichi DSM
Send your CV 0684261334
Attractive salary
Deadline 7/9/2024
Wanahitajika RN 3 (Diploma holder) mwenye active licence. Upendeleo utakuwepo kwa mwenye uzoefu wa RCH na Labour service vilevile mkazi wa Temeke. Contact.0715881977 .
Ukipata usisite kutoa mrejesho Mungu Awaongoze.
Ngoja namim nijarib kupunguza machungu yangu hapa kwenye jamvi, mwaka 2014 nipo chuo mwaka wa 2 nilikuwa napiga harakat zangu nikafanikiwa kuweka akiba sh 1.2M nikaenda kununua pikpik used ikaanza kazi baad ya miez 6 nikaongeza zikawa 2 ila nilihama eneo nilikuwa naishi na kwnda sehem nyingne...
Hii jinsia ya kike n complicated sana wakuu maana nlikuwa na nae mmoja hv alinishangaza sana alikuwa anapenda sana starehe out kila weekends, mzigo nilipewa kila napouhitaji anauleta mwnyw gheto, alikuwa mtumiaj mzur tu anabdil style za nywele kila week, bundle la 2,000 kila cku anashinda...
M nakushauti kama n uswahilin hama nenda kaish sehem ambazo zina ustaarab kdogo kwa malez ya mwanao, na kama haiwezekan basi subiria uvune unachokipanda kwa mwanao
Dunian hamna wakumwamin sabab hat huko kanisan bnadam sis wenyew ndyo tunaoenda, na bnadam ana mengi kwakwel ukiangazia huyo n Rais wa nchi usalama wake ndyo kpaumbele haijalish mahali alipo.
Nilisoma na Stamina pale Mbezi beach high mi nilkuwa form 5 ye form6 miaka ya 2011, jamaa alikuwa anakuja scul kwa manat sana na alikuwa anaperform kwny bonanza za shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.