Recent content by stambuliyahaya

  1. S

    Wanaume tuna kazi sana, huyu mwenzetu aliwekwa kweye chupa na kutupwa baharini

    Tunguli hizo dah tunapata tabu sana wanaume. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Nataka nitulie na demu mmoja

    Jitahidi utulie bro kabla ujachelewa pia kaa mbali na vishawishi vinavyofanya utafute mwingine fanya mazoezi kua busy na mambo yako. Pia tafuta mmoja wa kuishi nae. Utaacha tu hiyo tabia bulaza. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Anataka kuterminate ujauzito.

    Kama uwezo wa kulea anao kwanini asizae tu! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    Wazo Mitume Na Manabii Hamieni Vijijini Sasa

    Watakufa kwa heli maana wanakufa wakifanya kazi ya bwana. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    Tuwasamehe wanaume wanaochukia wanawake humu

    Thanks for that bro. Hawa ni wakuwaaeshimu tu sio kuwaamini. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    Tuwasamehe wanaume wanaochukia wanawake humu

    Na Delilah alivyomsaliti Samson.. umesahau! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom