Recent content by sseya75

  1. sseya75

    Ijue Vita ya Harmagedone kiundani[ww3]

    Mzee hakuna sehemu yoyote inayozungumzia harmagedon ni vita dhidi ya Marekani, kumbuka msingi wa neno harmagedon ni Israel ambapo kuna bonde linaitwa megido na kwa kifupi vita ya harmagedon ni mataifa ya dunia hasa ya kiarabu pamoja na Urusi na China kupigana na Israel kwa nia ya kuiangamiza lkn...
  2. sseya75

    Je, wajua kuwa Ariel sharon toka 2006 alipozimia bado hajazinduka?

    Sharon alifariki January 2014 na alishazikwa baada ya kupata stroke 2006
  3. sseya75

    Kati ya Mchungaji Rwakatare na Gwajima, CCM watuambie nani mwanasiasa?

    Kwan watumishi wa Mungu wamekatazwa kuonya watawala wanapokosea? Nabii Eliya alipambana uovu wa mfalme ahabu na jezebel, Yohana mbatizaji aliuawa na Herode kwa kukataa uovu uliofanywa na Herode, Paul mtume aliuawa na watawala wa rumi,
  4. sseya75

    Hivi hii ni sawaa?

    Bila mama mkwe angemjua mumewe, mwache akae tu hakuna namna
Back
Top Bottom