Kuna mmoja kijora hakina Mwanandani kabisa maboga yanacheza cheza kama anaenda kucheza chura kwenye kigoma pale Buza....!
Na kwa pembeni Kuna vitoto viwili vya 2000 viko masuruali Mabwanga na vi tishet vyeupe hahaha...
Mimi nimeelewa kuwa, unafuu upo kwa serikali na mfumo wa wapigaji ila wewe na mimi makamuzi ni kama jana na juzi tuu...! Kama unanunua kitumbua kwa Mama Mwajuma wa buza tsh 50 nakuja kukuuzia Mama Precious wa kishua tsh 500.. sijui umenielewaa...!!!
Nimefukuzwa kazi kwa sababu ya elfu mbili nineambiwa nilipe elfu mbili ili aongee na muajiri wangu niendelee kufanya kazi takukuru namba zenu hazipatikani
Ni kweli ila shida ni majibu ya watanzania kisahau uhalisia wao, imani unayotakiwa kuifunza nyumba yako na jamii yako unaiweka kuamini ushirikina wa kisasa kupitia dini amini Mungu yupo aliyekufanya uzaliwe na utakufa halafu ishi maisha mema usimkwaze mtu mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.