Naunga mkono hoja.. Tutamloga kwa mizimu ya kitanganyika hadi apagawe au hamjawahi kusikia greda limeshindwa kuvunja nyumba kupisha barabara........!!???
Mimi niliongozana na vieite moja jeusi liko tinted hatari kwenye foleni akanitolea pembeni nataka kumpa dole la kati nikasikia dwwwiiidwwiii ikabidi nisalimie kwa heshima akaenda zake
Tuchangie kwa weredi mkubwa ila tusihusishe dini maana mikataba ya zamani kwa asilimia kubwa hakukuwa na uhuru kama huu wa matamko,
Mf: Mkataba wa madini ulisainiwa mwaka gani?? Je kanisa au Uislamu unaotoa matamko ukuwa na mlengo upi..??
Kwa sasa maliasili ziko chini ya Mh. Raisi...
Wanakwepa kukosa nguvu mbeleni ya kushindwa kutoa tamko ndio maana wametoa tamko sasa, kwa maana wakati wanapewa mamlaka ya kuchota hayo madini hawakuwa na uwezo wa kutoa tamko kama sasa...
Nyerere hakuwa mwanasiasa ila alikiwa kiongozi usimfananishe na vitu vya kijinga na Nyerere hata sanamu yake inahitaji marekekebisho na matunzo kila miezi mieili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.