Recent content by sseni

  1. sseni

    Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

    Natamani nikupe hata likes 10. Wanajizima data ila wanajua kinachoendelea
  2. sseni

    Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

    Naunga mkono hoja.. Tutamloga kwa mizimu ya kitanganyika hadi apagawe au hamjawahi kusikia greda limeshindwa kuvunja nyumba kupisha barabara........!!???
  3. sseni

    Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika afika nyumbani kwa Mufti Zuberi kuhani Msiba

    Kawakilisha Chama nadhani haina ubaya kutambua uwepo wa Chadema Msibani.
  4. sseni

    Ongezeko la Magari yenye vimulimuli, Serikali imeamua kuacha ‘uhuni’ kuendelea?

    Mimi niliongozana na vieite moja jeusi liko tinted hatari kwenye foleni akanitolea pembeni nataka kumpa dole la kati nikasikia dwwwiiidwwiii ikabidi nisalimie kwa heshima akaenda zake
  5. sseni

    Akina mama wakimasai wamwambia Samia asiwaondoe katika ardhi yao ya asili ya ngorongoro.

    Labda kama tungekuwa naye hadi leo jamaa alikuwa vizuri kutuongoza
  6. sseni

    TANESCO kuzima Umeme siku 2 kwa saa 12 (Agosti 26 -28 2023), Mikoa 15 gizani

    Au tuwape DP wedi watusaidie....!
  7. sseni

    Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

    Tena nyazfa ya sekta ya dini
  8. sseni

    Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

    Tuchangie kwa weredi mkubwa ila tusihusishe dini maana mikataba ya zamani kwa asilimia kubwa hakukuwa na uhuru kama huu wa matamko, Mf: Mkataba wa madini ulisainiwa mwaka gani?? Je kanisa au Uislamu unaotoa matamko ukuwa na mlengo upi..?? Kwa sasa maliasili ziko chini ya Mh. Raisi...
  9. sseni

    Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

    Lilotafutwa limepatikana sasa kila mtu adai chake tuheshimiane.
  10. sseni

    Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

    Pisi na kichupa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. sseni

    Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili

    Kinachotafutwa kitapatikana tuu ni jambo la muda tuuu...
  12. sseni

    Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili

    Wanakwepa kukosa nguvu mbeleni ya kushindwa kutoa tamko ndio maana wametoa tamko sasa, kwa maana wakati wanapewa mamlaka ya kuchota hayo madini hawakuwa na uwezo wa kutoa tamko kama sasa...
  13. sseni

    Hatimaye Waraka umemtoa pangoni “mwenyewe”!

    Tena waape kwa ilani za chama, nimeandika kodogo ila imeongea mengi......
  14. sseni

    Kila siku wako Misikitini na Makanisani wakihubiri siasa lakini wa kwanza kusema tusichanganye dini na siasa

    Nyerere hakuwa mwanasiasa ila alikiwa kiongozi usimfananishe na vitu vya kijinga na Nyerere hata sanamu yake inahitaji marekekebisho na matunzo kila miezi mieili
Back
Top Bottom