Ebu kuna jambo inabidi uelewe mkuu; pesa zilipokuwa account ya escrow zilikuwa bado za umma; lakini zilipiidhinishwa zilipwe IPTL; hapo zikawa c za umma tena. Na IPTL ana Uhuru wa kuzitumia anavyoona inafaa; serikali haipo tena.
Ugumu gani? Ebu jiulize; hujui kwamba wabunge wengi ni ccm; pili wanakula kupitia chama chao. Ugumu upo sana tu; waoige kura alafu wakale wapi? Katiba ya chama nitakilinda na kukitetea chama change kwa kila khali
Muhongo mi namkubali sana ni kichwa; hoja kajibu vizuri tu.hizi hela zina mlolongo mrefu; pia huwezi sema moja kwa moja ni hela za serikari na ndo maana zimeliwa kama njugu. Iptl na baadhi ya watu serikalini ndo wanajua mchongo mzima.
Uchafu was muhongo/ haimaanishi eti manji ni msafi. Manji Naye hafai kabisa; tens hutumia vyombi vyake vya habari kuchafua watu. Ebu fatilia data za mengi; utashangaa na kubaki mdomo wazi. Unajua alikua anafanya dili gani kwenye hivyo vitalu?
Hats huyo lissu tundule; mi naona ni mnafiki tu alikuwa wapi kusema siku zote. Eti Leo ndo aseme. Mawakili ndo kazi zao; kuutetea uongo use kweli and vice versa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.