Recent content by SPYMATE

  1. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

    Vina chuchu
  2. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

  3. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

  4. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Pishi la nyoka: mishkaki ya cobra

    Naambiwa tumewala sana kwa jina la samaki wa vipande
  5. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Pishi la nyoka: mishkaki ya cobra

    Ana Makebo?
  6. SPYMATE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahakama yaamua Uchaguzi Mkuu Kenya unapaswa kufanyika Agosti 11, 2026, hata hivyo utekelezaji wake wasitishwa

    Alafu unafanyika 2027 kwenye ubatili, daah lugha ngumu kweli
  7. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania VIDEO;-Kuchipuka, kukua na kufa kwa kampuni ya mabasi ya Scandinavia

    Akamba pia kafia wapi?
  8. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania KERO Responded TANESCO, sisi Wafanyakazi wa S.T.E Boresheni Mikataba yetu au tupeni Mikataba ya Kudumu

    Nadhani jamaa ni robot limelishwa maneno linazidiwa Akili hadi na AI
  9. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Kina Makamba hawanaga dini hao
  10. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Wakuu nimeona hiki kitu hotelini

    Hapo wanakupiga chabo kiaina
  11. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete Apinga KATIBA Mpya, Apinga kuachiwa kwa Lissu , yote haya ni sababu ya 'Urais' aloandaliwa anaona unapepea peeeee

    Si tulikubaliana zamu zamu, hawamu ijayo na ya Mgalatia sasa inakuwaje mnamchafua Prince?
  12. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni kiboko aisee

    Si ungeomba kuliko kudokoa
  13. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Wakuu huyo mwanamke ulienaye minya kidogo eneo la transaction kwa wiki mbili akiendelea kubaki njoo nikupe 2ml

    Ndio hapo sasa. Wakati vidume huku tupo nakula pesa za mama Yuyu
  14. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Wakuu huyo mwanamke ulienaye minya kidogo eneo la transaction kwa wiki mbili akiendelea kubaki njoo nikupe 2ml

    Mimi miaka sasa mifuko imetoboka nehemea mshahara wa wife. So arguments zako hazina mashuko
Back
Top Bottom