Burudani magazetini:
Gazeti la Mzalendo lilikuwa na makala za vijembe na ufikishaji ujumbe kipekee kama Hekaya za Chesi Mpilipili (Chesi Mpilipili) Cheka kwa Uchungu na Uncle Ben ( Ben R. Mtobwa)...........
Pia kulikuwa na "Zee la Nyeti'
Unajua Test Signal alianza CTN then akaja ITV.
ilipoongezwa DTV na Chanel Ten ikaja ITV2,C2C na Pulse.
CTN,DTV,TEN,C2C= Kanjibahi
ITV,ITV2,PULSE= IPPMedia
Shadeeya wadada walikuwa wanapenda sana za Shania Twain,Ton Braxton,Celine Dion,Keith Sweat, Lione Richie na Wacko Jacko.
Lang'ata Sociall ulikuwa unaijua au ulikuwa mporipori?
1990'S Watu wanatoka Kigogo,Buguruni, Manzese etc kwenda kuangalia Kideo Magomeni Mapipa maana ndio kulikuwa na don mwenye nacho.
Mtaani ni mwendo wa zile Cinema za mkanda kama projector, Watu wanazunguuka mtaani na megaphone kutangaza ukumbi flani kutakuwa na show kuanzia saa 12 jioni Trailer...
Tulitishana kipindi kile daah, tarehe sijui zimefanyaje 1999, mara Mei afu kina Shingongo na vigazeti vyao vya Dar-.leo, Alasir, Ijumaa, Uwazi walichagiza sana kwenye vitisho.
Mtandao pendwa ulikuwa Yahoo messanger, Dar hot wire net hadi uingie C@fee.
Simu ni mwendo wa GPRS(WAP)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.