Recent content by SPYMATE

  1. SPYMATE

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Daah kwahiyo kifo cha mistaferi yangu chanzo ni Mipassion? huwa inaikaba miti mpaka inashindwa kupumua au inanyonya unyevu na rutuba yote?
  2. SPYMATE

    Daraja lakatika Kigamboni wananchi wanahaha

    Kule kimbiji Kuna "Kidagaa" na "Kizito huonjwa"
  3. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Burudani magazetini: Gazeti la Mzalendo lilikuwa na makala za vijembe na ufikishaji ujumbe kipekee kama Hekaya za Chesi Mpilipili (Chesi Mpilipili) Cheka kwa Uchungu na Uncle Ben ( Ben R. Mtobwa)........... Pia kulikuwa na "Zee la Nyeti'
  4. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    oscar makoye= Tolu. Kuna kina Teddy,4th Ndilla,
  5. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Unajua Test Signal alianza CTN then akaja ITV. ilipoongezwa DTV na Chanel Ten ikaja ITV2,C2C na Pulse. CTN,DTV,TEN,C2C= Kanjibahi ITV,ITV2,PULSE= IPPMedia
  6. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Daah, Bongo flava vijana walikuwa wanachana Mistari free style pale Amana Vijana Centre full vipaji na tulijazana pale asee hachana na hizi BSS.
  7. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Shadeeya wadada walikuwa wanapenda sana za Shania Twain,Ton Braxton,Celine Dion,Keith Sweat, Lione Richie na Wacko Jacko. Lang'ata Sociall ulikuwa unaijua au ulikuwa mporipori?
  8. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Sio za Nasma Khamis-Kadogo, Khadija Kopa na Minanda?
  9. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Hapo Ukute zimejaa za Tabu Ley,Bozi Boziana,Pepe Kalle,Samba Mapangala,Franco,Koffi,
  10. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Power nketa Super Kibonge na kina Proffesor Zingira lilikuwa balaa lingine lazima walambe fifty zetu
  11. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    1990'S Watu wanatoka Kigogo,Buguruni, Manzese etc kwenda kuangalia Kideo Magomeni Mapipa maana ndio kulikuwa na don mwenye nacho. Mtaani ni mwendo wa zile Cinema za mkanda kama projector, Watu wanazunguuka mtaani na megaphone kutangaza ukumbi flani kutakuwa na show kuanzia saa 12 jioni Trailer...
  12. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    We utakuwa mdau wa baba ubaya,Kaboka mchizi na Faza hausi.
  13. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Tulitishana kipindi kile daah, tarehe sijui zimefanyaje 1999, mara Mei afu kina Shingongo na vigazeti vyao vya Dar-.leo, Alasir, Ijumaa, Uwazi walichagiza sana kwenye vitisho. Mtandao pendwa ulikuwa Yahoo messanger, Dar hot wire net hadi uingie C@fee. Simu ni mwendo wa GPRS(WAP)
  14. SPYMATE

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Kina Mponda,Mjuba, Asina Kibibi,Mzee Kasri,Rehema,Rukia. Kitu cha KBC Mzee Mengi alinunua hakimiliki Kenya
Back
Top Bottom