Recent content by SPYMATE

  1. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Kina Makamba hawanaga dini hao
  2. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Wakuu nimeona hiki kitu hotelini

    Hapo wanakupiga chabo kiaina
  3. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete Apinga KATIBA Mpya, Apinga kuachiwa kwa Lissu , yote haya ni sababu ya 'Urais' aloandaliwa anaona unapepea peeeee

    Si tulikubaliana zamu zamu, hawamu ijayo na ya Mgalatia sasa inakuwaje mnamchafua Prince?
  4. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni kiboko aisee

    Si ungeomba kuliko kudokoa
  5. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Wakuu huyo mwanamke ulienaye minya kidogo eneo la transaction kwa wiki mbili akiendelea kubaki njoo nikupe 2ml

    Ndio hapo sasa. Wakati vidume huku tupo nakula pesa za mama Yuyu
  6. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Wakuu huyo mwanamke ulienaye minya kidogo eneo la transaction kwa wiki mbili akiendelea kubaki njoo nikupe 2ml

    Mimi miaka sasa mifuko imetoboka nehemea mshahara wa wife. So arguments zako hazina mashuko
  7. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Unatoa wapi ujasiri wa Kuomba mtu kiasi Cha shilingi 100,000

    Kidukulilo naye kaiga kwa katuni ya maproosoo
  8. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaoagiza bidhaa au wanaoishi China; hivi kuna bidhaa ambazo ni original kweli zinazotokea huko?

    Kuna : 1-Original 2-High Copy 3-Copy 4-copy ya copy Sa hapo kibongobongo wataenda kuchukua no 3 na 4 wapige Mpunga mnene
  9. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaoagiza bidhaa au wanaoishi China; hivi kuna bidhaa ambazo ni original kweli zinazotokea huko?

    Ndio kuna bidhaa kwa ajili ya kuuza ulaya, Middle East na mwisho Africa.
  10. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaoagiza bidhaa au wanaoishi China; hivi kuna bidhaa ambazo ni original kweli zinazotokea huko?

    Original zipo na top/high quality zipo na bei imechangamka sema wa fanya biashara wana tamaa kumake super profit ndio maana wanaleta fekelo kwa sana
  11. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Penye kusifia tusifie, hongera TANESCO

    Gharama ipoje?
  12. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Penye kusifia tusifie, hongera TANESCO

    Mimi swali nje ya mada: Je utaratibu upoje kuweka meter ya ziada kwenye nyumba ambayo tayari ina meter. Mfano nina oven, deep freezer, induction na majagi sasa nahitaji mita binafsi kuepusha kelele za wapangaji wengine na kuzimiana umeme
  13. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna ukandamizaji wa haki kwa vibarua wa TANESCO wanaosambaza umeme kwa mteja(service line) na kujenga miradi midogo midogo

    Mimi swali nje ya mada: Je utaratibu upoje kuweka meter ya ziada kwenye nyumba ambayo tayari ina meter. Mfano nina oven, deep freezer, induction na majagi sasa nahitaji mita binafsi kuepusha kelele za wapangaji wengine na kuzimiana umeme
  14. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Nataka nifungue kampuni itayohusika na kununulia wateja umeme kutoka TANESCO

    Mimi swali nje ya mada: Je utaratibu upoje kuweka meter ya ziada kwenye nyumba ambayo tayari ina meter. Mfano nina oven, deep freezer, induction na majagi sasa nahitaji mita binafsi kuepusha kelele za wapangaji wengine na kuzimiana umeme
  15. SPYMATE

    JamiiForums Tanzania Mambo yameanza huku nianze kukera watu karibu tunywe kuna warembo kama wote yani

    Pesa ndefu wakati wengine tunalala njaa wana JF wenzio
Back
Top Bottom