Recent content by Spy1983

  1. Spy1983

    Majina ya Kihaya na maana zake

    Naomba kujua maana ya Jina linaitwa Rugamuza....
  2. Spy1983

    Hivi Rais Samia anawezaje haya yote?

    Mama amefanikiwa baada ya kuongeza vyanzo vipya vya kodi kwa sehemu kubwa, kupanda kwa mapato ya ndani yanayokusanywa na kuongezeka kwa New investors kwa ndani na nje.....Asante sana Mama na bado tunazidi kuongeza kupanda
  3. Spy1983

    Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

    Hakuna Rais ambae yupo Strong na vision kama Rais Samia, Mama ana vision sana na Tanzania ijayo yenye maendeleo.... Nchi inaenda kuwa na uchumi wa Kati ngazi ya Juu.... soon
  4. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Hahahahahahashhsh hahahahhshahsb hivi ulisoma shule gani???? Hahshahabahhahah
  5. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Tango poli hakuna kitu kama hicho.... KIJANA TUMIA MUDA KUSOMA VITU SIO UNAOKOTEZA TUUH
  6. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Kijana- elimu yako ndogo sana, soma kitu chote sio unaokoteza. Haya soma hiyo paragrafu hiii
  7. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    soma hiyo, niambie company inayomilikiwa na TZ
  8. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Kijana bana, hahahashaha yaaah soma hiyo
  9. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Kijana kijite kusoma na kuja na fact sio unaleta video za youtube eti ndio evidence za kuonyesha Tz ni bora kuliko Kenya wakati KCB, Equity na NCBA zote zina mizizi TZ alafu NMB na CRDB tupo TZ pekee yake..... TZ bado kuna kazi kubwa...
  10. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    wewe ndio haujui mind game za siasa pamoja na kuwa kwenye siasa.... alisema hizo kupitia transportation ambayo ni sehemu ndogo sana kwenye uchumi haina athari yeyote....kijana jikite kusoma sio kuleta video za youtube ...
  11. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Hiyo ni mind game hata yeye alifanya hivyo makusudi, never trust lugha za kusifiwa kutoka kwa viongozi ambao wana mfumo wa ukapitalist....
  12. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Nimekuambia kama kenya wametengeneza exchange rate yao na kuwa more prefered kwao basi na sisi tutengeneze iwe 1500. Exchange rate inaweza kuwa create kwa muda mfupi kwa ajili ya watu fulani kupiga pesa lakini iwezi kuwa kwa miaka yote.... Kenya wanafanya export sana kwenye nje zaidi ya kwetu na...
  13. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Sehemu nyingi tuuh kuanzia nakuru,mombasa, elgoleti, nairobi
  14. Spy1983

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Report nilizosoma tumeandaa sisi wenyewe na kuzituma kwa walaji na duniani.... Uchumi wetu bado...
Back
Top Bottom