Itakuwa msaada mdogo kwa wachache sana.
Badala yake waongezewe maslahi yao kwa kuwana mishahara bora,mikopo yenye riba nafuu (au isiyo na riba /sponsored) au wapewe upendeleo maalumu kwa kuwa na maeneo yao maalumu ya kufanya manunuzi bila kodi au tozo yabidhaa wanazohitaji hasa za...
Naunga mkono.Hapo Mashariki ya Congo vurugu zilizopo zinaletwa na swala la uraia pacha.Kunathread ipo humu Jf nimeisoma jana.Someni hiyothread itawasaidia kupata jibu la thread hii bila shaka kabisa.Muandishi ameiandika thread hiyo kwa umahiri mkubwa
Misaada hii hatuitaki kabisa,kwa bahati mbaya viongozi wetu ndio hulazimisha iwepo kwa maana huwa inawasaidia wao kwa kuwapa wakopeshaji rasilimali zetu
Kaa mbali na mama yake.Huo uhusiano si sahihi kabisa,utamuharibia rafiki yako afya yake ya akili.Kuhusu urafiki wenu,hapo itategemea jinsi mama huyo atakavyokuwa king'ang'anizi kwako.Lakini pia unaweza kumueleza huyo mama unamuacha kwa sababu zipi na ufanye hivyo kwa kukeep distance naye kabisa...
Haujafikiria athari mbaya zinazoweza kumkuta rafiki yako akigundua umefanya jambo la hivyo na mama yake? Afadhali ungefanya hivyo na mke au girl friend wa rafiki yako.Ushauri wangu. Achana na uhusiano huo haraka,ili kuilinda afya ya akili ya rafiki yako. KOSA HILO RAFIKI YAKO HATA KUSAMEHE...
Swala la kizazi bora ni swala subjective,namaanisha inategemea unautazama ubora huo kwa maono yapi au mtazamo upi au malezi gani uliyokulia.Nafikiri hapa tufanye upembuzi yakinifu (Analysis)ya ubora na mapungufu ya vizazi vitatu ulivyoviainisha ili baadaye tukubaliane ni yapi kila kizazi kiyaige...
We are supposed to strike a balance between live births against population size control measures to avoid making the planet being overpopulated or underpopulated;at the same time we should be very coutious with the new world order propositions ,some of them if not all are very evil with a lot of...
Tatizo hawa wanamuziki wa sasa ,wanatunga na kuimba nyimbo ambazo hazina wazo lolote endelevu ndio maana nyimbo zao zinaboa kuzisikiliza baada ya muda mfupi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.