Kweli nimeamini duniani tunapita kila tulichokikuta wajanja wasipotumia tutaviacha kama vilivyo.
Hata haya makinikia tutayaacha tu. Huoni trillion 400 tumeziacha.
Mzigo mzito mpe mnyamwezi, unafikiri alijuaje ni mzito Kama asinge jaribu kuubeba!!!??
Mnyamwezi kabeba kwa mbwembwe kuanzia kichwani...
Ni ujinga huu! tuambieni mmewakamata leo mnatuambia mna majina yanatusaidia nn hayo majina pia wakati mwingine haiko na haja ya kupost mambo ambayo hayana maana kama haya
Biashara baba hata wewe ukiwa maarufu lazima uuze gazeti istoshe watz vilaza wanafuata upepo tu, leo polis kaonekana boya kuliko ponda hivi ni nani anahatalisha amani kati ya ponda na polisi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.