Recent content by Spu

  1. Spu

    Kurugenzi ya Fedha ya Acacia yasema haina kiasi cha dola milioni 300 za kuilipa Tanzania

    Kweli nimeamini duniani tunapita kila tulichokikuta wajanja wasipotumia tutaviacha kama vilivyo. Hata haya makinikia tutayaacha tu. Huoni trillion 400 tumeziacha. Mzigo mzito mpe mnyamwezi, unafikiri alijuaje ni mzito Kama asinge jaribu kuubeba!!!?? Mnyamwezi kabeba kwa mbwembwe kuanzia kichwani...
  2. Spu

    Mkoa wa Tanga umekamilika kuliko mikoa yote Tanzania

    Consevartiveness of tanga leged behind
  3. Spu

    Mtandao wa majangiri waitisha serikali....

    Ni ujinga huu! tuambieni mmewakamata leo mnatuambia mna majina yanatusaidia nn hayo majina pia wakati mwingine haiko na haja ya kupost mambo ambayo hayana maana kama haya
  4. Spu

    Maandamano ambayo hayajawahi tokea -Mwanza

    Mamaaa!! yamekuwa mnara wa babeli!!!
  5. Spu

    Irresponsible mwananchi:Ponda ni controvercial sana kumpa hii coverage.

    Biashara baba hata wewe ukiwa maarufu lazima uuze gazeti istoshe watz vilaza wanafuata upepo tu, leo polis kaonekana boya kuliko ponda hivi ni nani anahatalisha amani kati ya ponda na polisi?
  6. Spu

    Bilionea mwingine Arusha akutwa kafa chumbani

    Mimi nina maziwa kwangu
  7. Spu

    Story: Nilivyomtapeli tapeli wa Kisenegal mwaka 2009

    Hahaha nilidoji lecture mtumzima kuona dora bilion 8.7 nikaona hata loan bord wachawi faster kureply email wacha kumbe changa...
  8. Spu

    Je jeuri ya Ponda ni udhaifu wa Rais Kikwete? Mbona 2000-2005 hakua na jeuri na kiburi hiki?

    Wakwao siwanaolewa na kulinda nyumba nani asiyejua wanake wakae nyumbani walinde familia nesi awe nani? napenda sana hiyo
Back
Top Bottom