Recent content by sportstore

  1. S

    JamiiForums Tanzania Wakuu, mnapambana vipi na changamoto za ununuzi wa bidhaa nje ya nchi?

    Kwa muda mrefu nimekuwa mwagizaji wa bidhaa hasa china....OGOPA supplier yeyote unayekutana naye facebook, instgram au tiktok etc..USITHUBUTU WENGI NI MATAPELI ..Sehemu salama sijawahi pata matatizo more than Five years ni Alibaba..ingawa sometimes mara chache unaweza pata bidhaa chini ya...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini ICC ipo kimya licha ya maombi ya uchunguzi wa uhalifu na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Tanzania?

    Utendaji kazi wa ICC Huwa hauwi wazi sana kama watu wanavodhani..na sio lazima watangaze kuanza uchunguzi. Kuna watuhumiwa wengi tu walioenda ICC bila hata hao ICC Kufika kufanya uchunguzi hizo nchi zao au kwenda huko uwanja wa vita kukusanya ushahidi. Kimsingi utendaji wao huwa siri sana na...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Wachina waja na maji haya, wanaliteka soko mdogo mdogo

    siku si nyingi makampuni ya maji ya kitanzania yataiga kila kitu kuanzia chupa mshikio,ujazo na bei...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya magari ya China yazidi kupata soko la Afrika, sasa yamefika soko la Tanzania

    mwenyewe uelewa ivi Jetour T2 second hand (umeme na mafuta) gharama za ushuru ukiliingiza Tanzania makadirio yake bei gani ?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Mzee Butiku kujitokeza kujibu juu ya Polepole kutekwa ni dhahiri kuwa anafahamu mchongo mzima

    katika maongezi yake amesema taifa bado kuna vaccum of power....hili jambo lisichukuliwe kiwepesi...hali si hali
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kinachotokea sasa hivi hapa nchini kilifundishwa na Thomas Aquinas mwaka 1225 mpaka 1274. Naturally wananchi wametambua rais Samia hafai kuwa rais wao

    In sense watu wengi hawamtambui, hawafeel na hawaoni kama kuna serikali.Watanzania wengi kila asubuhi wanaomba hii serikali idondoke na ipotee..thats truth
  7. S

    JamiiForums Tanzania The ICC issued summons calls the President of United Republic of Tanzania to appear before the court

    Hata kama hiyo doc ni feki ila original inakuja...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Waziri Joel Nanauka vitabu vyako na kuongea kwako sasa hivi ungemzidi Modewiji kwa utajiri ila sivyo ndivyo

    Motivation speaker wa mchongo sana yule jamaa kuna sehemu alikiri kabisa anawakubali sana motivation speaker ambao wanafanya practical business na wanafanikiwa...Yuko kinadharia sana..kutoboa ni ngumu kwa Gen Z kwasababu madogo wanataka matokeo na sio maneno matamu
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kazi ya ubaamedi ni kwa ajiri ya single mothers?

    Anachosema mdau ni kweli 100% baa nyingi hata hizo classic...Hao mabinti wadogo warembo unaodhani hawana watoto..wanao...Wengi maisha yanawaforce kufanya ivo coz hawana option nyingine ya kufanya ili kutunza watoto
  10. S

    JamiiForums Tanzania Vikwazo vya Visa za China na Marekanki kwa Watanzania

    Toka Desember 2025 viza za china zimekuwa ngumu sana kupatikana Kwa wafanyabiashara na from january US zinakuwa ngumu.....Mwakani Hali itakuwaje?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Huu msafara wa Samia barabara ya Bagamoyo, umenishangaza sana. Yaani si magari tu hadi Helicopter mbili angani

    Damu imemwagika nyingi sana...wenye visasi naye watakuwa wengi....Tibaijuka alisema tunatengeneza, ugaidi....Ulinzi wake lazima uwe imara sana .
  12. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kumbana Mange kumepunguza sana kasi ya maandamano

    Nina wasiwasi na mwenendo w mange huenda keshasalenda ...hata kama umefungiwa instagram ndio ushindwe hata kutoa video watu wakazisambaza? kuna kitu nyuma ya pazi
  13. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kamata kamata mitaani imeshika kasi

    Polisi na wajeshi wanapita mitaa muda huu wanakamata kila mtu aliyekuwa nje..Huyo kijana mwenye shati jeupe amedakwa muda huu anapelekwa kwenye gari
  14. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huyu nae ni miongoni mwa kundi la wanamtandao hatari

    wanamtandao wapo kila idara...huyu kitambo sana ..bado watanzania wanamaswali nae mengi sana kuhusu kifo cha.....ndio maana mwanamtandao mwenzie alitembea nae kila kona africa kumuombea kura....
  15. S

    JamiiForums Tanzania “The birds will be flying high tomorrow”

    ......katika mazingira ya miezi ijayo sio mingi Ubao utageuka completely na watu hawataamini..hizi heka heka za uchaguzi ni kama kujilisha upepo..
Back
Top Bottom