Recent content by sportstore

  1. S

    Wachina waja na maji haya, wanaliteka soko mdogo mdogo

    siku si nyingi makampuni ya maji ya kitanzania yataiga kila kitu kuanzia chupa mshikio,ujazo na bei...
  2. S

    Makampuni ya magari ya China yazidi kupata soko la Afrika, sasa yamefika soko la Tanzania

    mwenyewe uelewa ivi Jetour T2 second hand (umeme na mafuta) gharama za ushuru ukiliingiza Tanzania makadirio yake bei gani ?
  3. S

    Kitendo cha Mzee Butiku kujitokeza kujibu juu ya Polepole kutekwa ni dhahiri kuwa anafahamu mchongo mzima

    katika maongezi yake amesema taifa bado kuna vaccum of power....hili jambo lisichukuliwe kiwepesi...hali si hali
  4. S

    Kinachotokea sasa hivi hapa nchini kilifundishwa na Thomas Aquinas mwaka 1225 mpaka 1274. Naturally wananchi wametambua rais Samia hafai kuwa rais wao

    In sense watu wengi hawamtambui, hawafeel na hawaoni kama kuna serikali.Watanzania wengi kila asubuhi wanaomba hii serikali idondoke na ipotee..thats truth
  5. S

    Waziri Joel Nanauka vitabu vyako na kuongea kwako sasa hivi ungemzidi Modewiji kwa utajiri ila sivyo ndivyo

    Motivation speaker wa mchongo sana yule jamaa kuna sehemu alikiri kabisa anawakubali sana motivation speaker ambao wanafanya practical business na wanafanikiwa...Yuko kinadharia sana..kutoboa ni ngumu kwa Gen Z kwasababu madogo wanataka matokeo na sio maneno matamu
  6. S

    Kazi ya ubaamedi ni kwa ajiri ya single mothers?

    Anachosema mdau ni kweli 100% baa nyingi hata hizo classic...Hao mabinti wadogo warembo unaodhani hawana watoto..wanao...Wengi maisha yanawaforce kufanya ivo coz hawana option nyingine ya kufanya ili kutunza watoto
  7. S

    Vikwazo vya Visa za China na Marekanki kwa Watanzania

    Toka Desember 2025 viza za china zimekuwa ngumu sana kupatikana Kwa wafanyabiashara na from january US zinakuwa ngumu.....Mwakani Hali itakuwaje?
  8. S

    Huu msafara wa Samia barabara ya Bagamoyo, umenishangaza sana. Yaani si magari tu hadi Helicopter mbili angani

    Damu imemwagika nyingi sana...wenye visasi naye watakuwa wengi....Tibaijuka alisema tunatengeneza, ugaidi....Ulinzi wake lazima uwe imara sana .
  9. S

    PostGE2025 Kumbana Mange kumepunguza sana kasi ya maandamano

    Nina wasiwasi na mwenendo w mange huenda keshasalenda ...hata kama umefungiwa instagram ndio ushindwe hata kutoa video watu wakazisambaza? kuna kitu nyuma ya pazi
  10. S

    PostGE2025 Kamata kamata mitaani imeshika kasi

    Polisi na wajeshi wanapita mitaa muda huu wanakamata kila mtu aliyekuwa nje..Huyo kijana mwenye shati jeupe amedakwa muda huu anapelekwa kwenye gari
  11. S

    Tetesi: Huyu nae ni miongoni mwa kundi la wanamtandao hatari

    wanamtandao wapo kila idara...huyu kitambo sana ..bado watanzania wanamaswali nae mengi sana kuhusu kifo cha.....ndio maana mwanamtandao mwenzie alitembea nae kila kona africa kumuombea kura....
  12. S

    “The birds will be flying high tomorrow”

    ......katika mazingira ya miezi ijayo sio mingi Ubao utageuka completely na watu hawataamini..hizi heka heka za uchaguzi ni kama kujilisha upepo..
  13. S

    Kanisa la Waadventista wa Sabato Linaogopa Kumchukulia Hatua Mzee Wassira

    Magomeni SDA church ina watu type kama wasira kibao...so its hard hata kumwambia...ila makanisa ya maeneo mengine wanaweza mpiga stop lakinI sio MAGOMENI , Kwanza wataona unachekesha ..
  14. S

    Nani atakayeathirika zaidi kati ya Kenya na Tanzania kutokana na zuio la wafanyabiashara wadogo

    Kenya na Tanzania kwa mwingiliano wa biashara ndogo ndogo ni mkubwa sana..kila siku watanzania wanavuka boarder kupeleka bidhaa kenya na kuuza na kurudi..Serikali iangalie upya otherwise watu wengi watafilisika
Back
Top Bottom