Habari za jioni wakuu, poleni na majukumu ya kila siku.
Jamani sikia, omba yasikukute. Baada ya kupigika na kupoteza mtaji wangu wote kwenye uchimbaji nilikuwa najishughulisha na uchimbaji madini chunya ambapo nilikuwa na mil. 15, nikanunua karasha nikuze mlima.
Baada ya uchenjuaji nimekosa...
Naitaji msaada jaman namba ambayo ntwapata meridian kwa haraka hela nimekula nina shida nayo aitoki afu nikiwapigia nakutana na maelezo afu simu badae inakatwa
Poleni na majukumu ya kila siku kuna swala hapa nina mtoto uzito wake unaongezeka kwa kasi mpaka inafikia atua sasa nimeanza kuogopa anamiezi miwili na siku 20 lakini lakini Ana kilo 8.2kg naombeni ushauri jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.